Search results

  1. realnegro

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Kwa aliyewahi kufanya Interview ya Database Admin PSRS , njoo utupe A B C
  2. realnegro

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hawajakosea mzee coz written tar 27 Dodoma, then Practical tarehe 7 dar na Oral tar 8
  3. realnegro

    Hizi ndizo top ten taasisi private sector zinazolipa vizuri

    THPS umesahau kwenye list hapo
  4. realnegro

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Za NAOT cjazipata mkuuu
  5. realnegro

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Za ndani kabisa, Zile INTERVIEW za TRA na LGs&MDs ni mwezi huu wa kumi ila haijulikani ni lini lakini pia inasemekana watatoa majina kikanda yaani interview itafanyika kikanda watatumia Address kupanga kanda utakayoenda kufanya interview.... Utaratibu huo umekamilika na mpaka mwajiri wameshapiga...
  6. realnegro

    Nafasi za kazi Benki kuu ya Tanzania

    Kama kichwa kinavojieleza pakua pdf
  7. realnegro

    Loan officers 100 wanahitajika hasa microfinance

    Email si ndio hii mkuu?
  8. realnegro

    IT in security system

    Degree ya Cyber Security na IT Security hata Udom pale CIVE wanatoa izo course mkuu
  9. realnegro

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Hii ni kada gani mkuu?
  10. realnegro

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  11. realnegro

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    ORAL INTERVIEW QUESTIONS Kada:SYSTEM ADMINISTRATOR Taasisi: BRELA 1.Talk about yourself and education background in whole? 2. what is domain controler 3.function/uses of domain controler 4.what is cloud computing 5.advantages of cloud computing Hayo ndio nnayokumbuka....
  12. realnegro

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    Huu ni uzi maalumu kwa ajiri ya kushare Maswali ambayo ulishawahi kukutana nayo katika Interview za UTUMISHI (PSRS) kwenye kada tofauti tofauti iwe ni Oral,pract au written.... Acha swali ulilokutana nalo ujibiwe hapa Unapokuwa unatoa maswali jitahidi kutaja kada husika.
  13. realnegro

    Tukisubiri kuhesabiwa. Chagua kitabu kimoja nikutumie

    Umevidownload Z-library for free jamaa wapo vizuri
  14. realnegro

    Kuchange jina la kozi ili uombe kazi Ajita portal

    Ushauri mwingine ambao unaweza kufata na ukaomba ikakubali nenda sehemu ya chart nasi waandikie Technical support team wanakurekebishia usipige simu maana kuwapata tu ni mtihani
  15. realnegro

    Kuchange jina la kozi ili uombe kazi Ajita portal

    Wanakupiga chini siku ya interview pale wakikagua vyeti ili uingie ndani hutaamini,
  16. realnegro

    Cracking utumishi written interview: Maalum Kwa Kada za ICT

    Kikubwa mkuu kwenye Writen soma sana Compailer jamaa nimakatili sana, yaani kwa mfano kwwnye tangazo wakisema ujue labda php mandatory, basi jua unakutana na php,javascript,html,css na Ajax... Maswali yao wanakupa piece of code unachagua output yake na pia wanakupa syntax error ulekebishe kwa...
  17. realnegro

    Majibu baada ya Oral Interview Utumishi

    Kama sio Re-advertise watawaita mkuu
  18. realnegro

    Majibu baada ya Oral Interview Utumishi

    Inshu hapo sio kada hiyohiyo kwenye taasisi hiohio? Na je nafasi zilizotangazwa ni Re-advertise
Back
Top Bottom