Wakuu mbali mbali habari za Wakati kama huu...
Nimeleta huu mahsusi ili Wasabato watuambie hii ina maanisha nini...
Tunafahamu ndugu Yetu Isaack Gamba(R.I.P) alikuwa ni Msabato.....Na kwa kadiri ya Mafundisho ya Wasabato ambayo yalihasisiwa na Nabii Ellen Gould White, Msalaba kwenye Kanisa la...
Wakuu Salaam...
Catholic News Agency ni Shirika la Habari Kubwa zinahusu Kanisa Katoliki......Habari unazozipata huku ni genuine bila chenga....
Waraka ule uliotolewa na Kanisa ni wazi sasa dunia nzima Tanzania inajulikana ni nchi isiyofuata utawala bora....Hili shirika si la mchezo..habari...
Habari midaa hii wadau wa JF
Kwa wale wakazi wa Arusha, natafuta Shamba la kununua kama Heka 3 maeneo ya Mlangarine au Manyire.....Mwenye kujua naomba anipe msaada...
Wasalaaam
Haya mandhari ya Shule...
Mazingira Bora Kabisa...
Kwa uzuri huu lazima Mwanao Afaulu
Michezo inakuza Afya zao za akili
Hongereni wadogo zetu....Hongera Walimu...Hongera Mkuu wa Shule....Hongera kanisa Katoliki kwa kuwa na Shule Bora kabisa hapa Tz
Kichwa cha habari chajieleza sawia.
Wana bodi, kama tunavyofahamu huyu Nabii wa huko Nigeria amejizolea umaarufu miongoni mwa nchi za Afrika sana sana hapa Tanzania kwa tabiri zake ambzo nyingi mimi huwa siziamnini...
Kitu kilichonifanya mimi niandike huu uzi ni kuwa huyu Bwana amekuwa...
Wana Bodi,
Napenda kuchukua nafasi hii kuipongeza kwa dhati kabisa Halamashauri ya Jiji la Arusha kwa kuuboresha mji huu...
WACHUUZI NA WAMACHINGA
Hakika kwa mtu yeyote mgeni akifika leo Arusha atastaajabu kwa usafi wa Jiji hili la Kimataifa na kitalii Barani Afrika..
Sikuwahi kuamini kwamba...
Wakuu,,,
Nikiwa nimejipumzisha home huku nikitafuta steshen murua ya Radio ili kusikiliza kusindikiza usiku wangu vyema mara nikakumbana na Radio hii inayoitwa NYU Radio ama (Ngurumo ya Upako Fm )
Kwakuwa nilikuwa sijawahi isikia hii redio kutokana sikuwa nipo Arusha kwa muda mrefu ilibidi...
Habari za leo waungwana .....
Kichwa cha habari kinajinasibu chenyewe....Sasa nimeamua kurudi rasmi nyumbani....Baada ya kukaa kule Siasani nimeona ni mateso makali na stress zisizo isha....
Kwa moyo mkunjifu nimeama kurudi uwanja wangu wa nyumbani....
Nipokeeni mwanampotevu....
Cc...
Kama kichwa cha habari kinavyojinasibu....Hii ni mara ya pili sasa mtu mzima namalizia kifungo cha takriban wiki moja....
Hii na hatari sana maana naona ninakoelekea nitaenda kupata kifungo cha maisha...kwani nilipomaliza kifungo cha kwanza hazikupita wiki hata mbili nikaswekwa ndani...
Kwakweli nimewamiss sana wana Cc wote...Hali ilikuwa ngumu sana kifungoni lakini Inshallah leo nimekuwa huru....(Siasani kule hakufai)
Copy to All Chit Chat Members...
Waungwana hii winter ya leo na haka kamvua kanakonyesha ni hatari.
Hapa nilipo nimevaa boshori, bonge ya sweta , jinsi , chini nina soksi za sufu yote nikatika kujihami na hii baridi.
Hebu fuatana nami hapa kwenye aina ya hawa watu.
1. YUKO AMBAYE HAJUI NA HAJUI KAMA HAJUI= (MWELEKEZE)
2. YUKO AMBAYE HAJUI NA ANAJUA KUWA HAJUI= (MFAHAMISHE)
3. YUKO AMBAYE HAJUI NA HATAKI KUJUA=(MWACHE)
4. YUKO AMBAYE ANAJUA NA HAJUI KAMA ANAJUA=(MWOGA)
5. YUKO AMBAYE ANAJUA NA ANAJUA...
A man called his mom fro USA.
Man: Mom i have IADS.
Mother: Don't come back home my son.
Man: why mom?
Mother: if you come back home, then your wife will be infected, from your wife to your brother from your brother to our maid, from our maid to your dad, from your dad to my...
wakuu!!
leo rais mstaafu wa marekani anawasili Tanzania. lakini cha kushangaza ziara hii imekuwa ni siri mno hakuna chombo cha habari hata kimoja kilicho tangaza hii ziara ya huyu muheshimiwa.
mimi ni mwanafunzi wa Muhimbili kwa sasa niko ocean road kwa clinical studies na inasemekana...
Habari zenu wadau wa jf? nimekuwa nikijiuliza siku zote why arusha? arusha ndo mji unaojulikana kama tha CAPITAL SAFARI CITY OF EAST AFRICA, THE GENIVA OF AFRICA, na pia ndo mji wa KITALII TANZANIA. pia ndo mji wenye agencies nyingi za kimataifa moja wapo ni ICTR, mahakama inayoshughulikia haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.