Hamisi Omary,
Hiyo ni kozi ipo kwenye website kama utashindwa kulipia hiko kitabu. Ukibonyeza link hiyo ya android tutoriapoint kushoto kuna menu ya kozi yote ya Android ipo namna.
Kwa hiyo menu ina machaguo na link ambazo zina content kuhusu android, kwa kuwa ww ni beginner kabisa anza na...
Hamisi Omary, Unaweza kuanza na hiki cha JAVA how to program
Kwa upande wa android pia hii tutorial ya android programming kutoka tutorial point ni nzuri kwa begginer mpaka kwa advanced developer.
Simu yako unaweza ukaroot kwa kutumia app ya kingo root.
Inaweza ikastuck ikifika 90% lakini baada ya mfupi itakwambia kuwa umefanikiwa ku-root.
Kumbuka ku-root pia ina side effects do it at your own risk.
Siku hizi kuna njia nyingi watu wanatumia kutengeneza apps za android.
Kuna platforms baadhi ambazo unaweza kuunda apps za simu za android bila kuwa na ujuzi wa code.
Just Google utazikuta, lakini pia kama unafahamu html,javascript,php unaweza kuunda app ya simu kwa kutumia apache cordova nk...
Developer Tips.
Developers na wote ambao wanajifunza utengenezaji wa android apps mnatakiwa kuwa updates na mabadiliko ya versions za android.
Google wanatarajia kuja na android 9(android pie) kuna mambo mapya yameongezwa.
Kwa upande wa developers pia kuna changamoto,
Google huwa wanaondoa...
AUDIO PLAYER APP ADDITIONAL FEATURES II
Code yetu inaenda kuhusika kwenye kufanya yafuatayo, kwanza inabidi tuielekeze audio application yetu iombe permission endapo android smartphone itakuwa na restriction.
Pili tunaenda ku-declare database, ambapo hapa tutaimploy Cursor kwa sababu ndio huwa...
AUDIO PLAYER APP ADDITIONAL FEATURES II
Kwenye sehemu iliyopita tuliweza kutengeneza UI (User Interface) kwa kutumia class ya ListView ambayo hupatikana tu ukidrag.
Kwenye post hii tunaenda kuandika java code kwa ajili ya kupata na ku-play audi files yoyote ambayo ipo storage ya simu yako...
Babarazack,
Je hii modem ulikuwa unaifungulia kwa kutumia browser? Na ni huawei?
Kama ni hivyo kwanza modem inabidi uibadili kutoka webui ili com ports zionekane kwenye device manager.
Baada ya hapo tafuta firmware ya modem yako kulingana na model number.
AUDIO PLAYER APP ADDITIONAL FEATURES
Endapo umefata maelekezo ya apps ambazo tumeunda kuhusu audio utakuwa na basics ambazo zitakusaidia ku-intergrate audio file na app lakini sio kutengeneza audio android app iliyo kamili.
Kwa hiyo kwenye post hii nitatoa muongozo wa kutengeneza android...
Tuendelee na Uundaji wa Applicaion yetu ya ku-play audio.
Kwenye apps ambazo tumeziunda hapo juu haziwezi kuacess audio ambazo zimeweza kuhifadhiwa kwenye memory(inernal na exernal), lakini pia kuna feutures ambazo hazipo kama next na previous button, kucontrol position ya audio na sauti, kwa...
Habari kuna changamoto na ubize unanikosesha muda wa kuwa humu mara kwa mara ila mpaka jumamosi Mungu akijaalia nitamalizia hii app ya audio na nitaweka maelezo.
Class ambayo inatumika kwenye maswala ya audio, camera na image processing kwa upande wa Android huwa ni class inaitwa media kwa upande wa audio tunatumia MediaPlayer class.
Kabla ya kuanza kufanya programming yaani kuingiza logic tuangalie classes mbalimbali ambazo zinahusiana na media.
1...
Za masiku wanajamvi, Leo nitaendelea la somo la kutengenea application inayohusiana na Audio Player.
Application ninazoenda kuzielez zituwa tatu, ya kwanza nitaita JF Audio hii nitacompile ikiwa na audio file ndani yake.
Application ya pili na yenyewe itahusiana na audio player ambayo nimeipa...
App Inayofuata itakuwa kwa ajili ya kuplay Music au audio yoyote ile, app tutaita JF Music Player, tutamia icon ya JamiiForums kama launch icon, pia itakuwa na feautures za play, previous na next. applications hii itakuwa na feature hizo chache kwa kuanzia ni hii itakuwa ni app namba tatu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.