Search results

  1. F

    Je CCM yamuandaa Mh Anthony Mavunde kuwa Rais ajaye?

    Wakuu salamu kwenu. Je imawezekan CCM inamuandaa Mh Mavunde kuwa Rais Ajaye?
  2. F

    Uelewa kuhusu kodi ya umri(age) wa magari

    Wadau naomba uelewa juu ya hii kodi ya umri (age) kama inavyooneshwa kwenye TRA calculator Reference Number: 22234104475 Make: TOYOTA Model: HARRIER ZSU - 60 / 65 Body Type: SUV Year of Manufacture: 2015 Country: JAPAN Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 1501 - 2000 CC Customs...
  3. F

    Naomba ushauri juu ya kununua gari

    Wakuu naomba ushauri wenu. Nataka kununua gari mojawapo na machaguo angu ni kati ya Toyota LC prado ya 2018 diesel engine,Mercedes benz G class ya 2015 au 2016 ya diesel, na Toyota LAND CRUISER GXR ya 2017. Naomba ushauri juu ya ubora wa gari hizo hasa hasa matengenezo pamoja. Chaguo langu la...
  4. F

    Wewe dada niliyekuchomekea...

    Wakuu salama? Juzi Jumamosi usiku mida ya saa mbili hivi njia inayoenda Sinza kupitia Tandale, kuna dada mmoja nilimchomekea barabarani, mimi naingia yeye anatokea barabara ya Tandale anaenda Sinza, akaniambia '' tabia mbaya hiyo'' Wewe dada nakuomba msamaha sana, na ningependa nikufikishie...
  5. F

    Home theatre/music system unazopenda

    Kwangu mimi nikijaliwa napenda nimiliki muziki aina ya Bose Home theatre system,model yoyote,sijui hapa tanzania zinapatikana wapi?na nyingine ni pioneer nayo ni balaa, Sijui wewe ndugu yangu unapenda model gani ya music system as home theatre? Karibu tubadilishane mawazo kuhusu ubora wa vitu hizo
  6. F

    Riwaya Kikomo

    Ninaomba mwenye riwaya ya kikomo atuletee humu kama ambavyo riwaya za njama na hofu zilipoletwa,ahsante
  7. F

    Tunatoa huduma za Usafiri Mwanza

    Wakuu kwema?kwa mtu yoyote anayekuja mwanza,tunatoa huduma ya usafiri,bei zetu ni affordable,lakini sio self driving kwa kuwa ni mwanzo!karibuni sana,kwa maelezo zaidi please PM
Back
Top Bottom