Pole mkuu,ila shika hii "There no victory without history". Mimi nimewahi pitia changamoto ngumu sana wakati nasoma na kuna muda nilikua nipo nipo tu kulala na kukaa pekee yangu muda mwingi sihitaji hata kusoma lakini nikavuka yote na imebaki kama funzo. Sisemi maisha yamekua mazuri hivyo lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.