Barabara ya Serengeti ilikuwa na manufaa sana kwa Uchumi wetu kwa kuboresha Miundombinu na kukuza utalii. lakini mashirika kibao ya kimataifa yaliipigia kelele mengi yakiwa nyuma ya Kenya eti wanyama watapungua Maasai Mara (inatuhusu nini?), mwishoni serikali ikaogopa kufanya maamuzi magumu...
wakuu nisaidieni tafadhari, nina kiasi cha shilingi milioni 6 benk. Bado sijajua/sijaamua nifanye biashara ili kuizungusha, sasa mwendo wa kuporomoka kwa shiling yetu kunaniogopesha mpaka natamani nifungue akaunt ya dola na nihamishe fedha zote to USD au EURO.
Nishaurini wakuu, je nifanye hivyo?
Nadhani wana jf mmeona jinsi CUF ilivyoambulia 0 katika vituo vingi Igunga. Hapa ni kwamba hata mawakala wa CUF ambao wameandaliwa na CCM hawakuipigia kura CUF
Nadhani wana jf mmeona jinsi CUF ilivyoambulia 0 katika vituo vingi Igunga. Hapa ni kwamba hata mawakala wa CUF ambao wameandaliwa na CCM hawakuipigia kura CUF
Katika hali ya kustaajabisha, wagombea wa CUF, CCM na CHADEMA wote ni Wakristo, lakini tumeshuhudia waislam wakihamasishana wasichague CHADEMA, sasa ingetokea mgombea wa CHADEMA angekuwa mwislam mwenzao wangethubutu kutoa matamko?
Na ingekuwa mgombea wa CCM au CUF angekuwa Mwislam, jamaa si...
Wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.
WANAOMFAHAMU HUYU JAMAA KITAMBO...
Nipo kwenye bar flan hapa maeneo ya banana zilipo bar nyingi na kitimoto.
Kwa kweli hali niliyoiona hapa ni ya kusikitisha kwani asilimia kubwa ya wahudumu wa hapa ni watoto wa kike wenye umri kati ya miaka 14 mpaka 17.
Hali inatisha wadau.
Wakuu kuna mwenye taarifa za interview ya utumishi ambayo tulifanyia uhasibu kurasini na wengine walifanya ifm tangu mwezi wa 3 kama sikosei.
Mimi nilifanya ya nafasi ya systems administrator, lakini mpaka leo naona kimya.
Kuna mwenye taarifa, pia walifanyiwa interview registration officers...
wadau miaka miwili kutoka sasa sidhani kama kutakuwa na m-bongo anayefanya biashara kariakoo, sababu nimepita karibuni mitaa miwili nimekuta asilimia 80 ya vibanda vinashikiliwa na wachina, tena wanauza bidhaa reja reja, kazi kwetu watanzania...
MARKTECH
The mark is a microchip assembly which will be implanted under the skin of the right hand. Later on, the mark will be implanted under the forehead, this chip will be used by doctors and hospitals to keep...
Wakuu mnalionaje hili, magazeti kadhaa nchini hususan gazeti la Tazama Tanzania, yamekuwa yakiandika habari za freemanson, illuminati karibuni kila toleo, tena ukurasa wa mbele sehemu ya chini, binafsi sijaweza kuelewa lengo lao ni nini zaidi ya kuhisi kuwa wanatumiwa na hao members wa hiyo...
MTANDAO WA KIJAMII NAMBARI MOJA DUNIANI WENYE MEMBERS WANAOFIKIA MILIONI 500 UMESHACHUKUA SITE YA Welcome to Facebook KWA AJILI YA KUANZISHA HUDUMA YA E-MAIL AMBAYO INAONEKANA KUJA KUWA TISHIO KWA GMAIL NA YAHOO!!
mfano@fb.com
MNAIONAJE HIYO!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.