Search results

  1. Doto Dotto

    Ukitaka kuonekana kijana kuwa na mtindo mzuri wa maisha

    Me naona ukiwa na hela tu ndo uzee hauji fasta
  2. Doto Dotto

    Makonda adai kuwindwa na Watu 8

    Nahisi uwezo wake kiakili ni mdogo japokuwa ni kachero
  3. Doto Dotto

    Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Namba 2 Yuko smart sana upstairs. But cjui mambo Yake mengine ila Uku wa nchi anauweza. Mchuano mkali utakuwa namba 11 na 12
  4. Doto Dotto

    TFF kwa hili la tuzo hebu oneni aibu hata kidogo

    Karia IQ yake ni ndogo sana that's why
  5. Doto Dotto

    Mishipa inaniuma ni dalili za ugonjwa gani?

    Acha kula nyama ya mbuzi utapona
  6. Doto Dotto

    Zikumbatie na zilinde kwa wivu hizi rasilimali zako nne muhimu ili ufanikiwe, zinawindwa na wengi

    Yes! Hiyo namba mbili ndo naitumia vzr na ndo inanifanya niishi mjini
  7. Doto Dotto

    Kama hakuna atakayezungumza ukweli kuhuru Iran mimi nitazungumza

    Kuna watu washavalishwa medali fulani hv ndani ya ikulu ya Kiongozi fulani Kwa kazi nzuri iliyofanyika Kwa hilo tukio hilo😀😃😄
  8. Doto Dotto

    Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

    Naunga mkono hoja Yako?
  9. Doto Dotto

    Jina lako na Hatima ya kesho yako

    Dah! Aisee!!! Mbona me Nilipewa Jina la mtu maarufu sana kwenye Bible enzi za agano la kale, lakin Sasa Tabia zangu na huyo mtangulizi wangu tofauti kabisa Nafanyaje hapo? Nibadilishe Jana au?
  10. Doto Dotto

    Wahaya wana Akili sana kiukweli

    Wahaya wayahudi ni ndugu
  11. Doto Dotto

    Waziri wa Ujenzi atoa maelekezo mawasiliano Barabara ya Dar - Lindi yarejee ndani ya Saa 72

    Me Bashungwa namuonaga kama Hana Haiba na uwaziri Sijui wengine mnamuonaje?
  12. Doto Dotto

    Askofu Gwajima, nakushauri usigombee tena ubunge wa Kawe

    Kuna wabunge wengi tu bila pombe wasingeyaona malango ya Bunge 1. Gwajima
  13. Doto Dotto

    Je, ni sawa kwa Rais Samia kuiunga mkono Somalia kiusalama?

    Wazee wa vilemba wamemsikia
Back
Top Bottom