jamani si mawakala wanamajibu nawameyafikisha kwa wahusika tusubiri tu watatangaza. Tume ya safari hii nadhani ni ya uwazi. Majibu yalibandikwa vituoni so watatangaza tu!
Wakizomewwa ukawa wanitw wazalendo na hawakamatwi, wakizomewa ccm kosa hii ikoje?
LABDA MNIAMBIE WAMEKAMATWA KWA KUPIGA MAWE. HAPO NAAUNGANA NA POLISI KAMA WAMEPIGA MAWE KWELI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.