Mi ni mwanamke mrembo mwenye Utu sana,Msikivu,Mwenye Upendo,Mwanamke ambae nathamini sana Familia, mwanamke ninaependa Maendeleo, Mama wa mtoto mmoja
Miaka 34
Mfanyabiashara
Mkristo
Nina jitegemea kwa kila kitu naishi Dar na mwanangu na dada wa kazi.
Nipo Tayari Sasa kwa kuanzisha Urafiki na...
Habari zenu wakuu,
Kama kichwa cha Habari kinavyosema,nahitaji kuanza biashara ya nafaka,mahari ni Dar es salaam Kigamboni hivyo nahitaji kuchukua fremu na pia kununua nafaka kwa bei ya jumla kwa wanaotoa mikoani na mimi nauza reja reja.
Msaada tafadhali kwa wenye uzoefu wa hii biashara
-wapi...
Natanguliza salaam,
Kijana mwelewa,msikivu, mbunifu na mchapakazi mwenye uzoefu wa kilimo (anae jua kulima) anahitajika
Awe tayari kukaa huko huko shambani, shamba lipo karibu na bagamoyo
Kula kulala juu yetu,Malipo maelewano
Mwenye ndugu jamaa au rafiki ambae ana sifa hizo naomba ani PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.