Search results

  1. T

    Natafuta rafiki wa kiume/ mchumba/ mume

    Mi ni mwanamke mrembo mwenye Utu sana,Msikivu,Mwenye Upendo,Mwanamke ambae nathamini sana Familia, mwanamke ninaependa Maendeleo, Mama wa mtoto mmoja Miaka 34 Mfanyabiashara Mkristo Nina jitegemea kwa kila kitu naishi Dar na mwanangu na dada wa kazi. Nipo Tayari Sasa kwa kuanzisha Urafiki na...
  2. T

    Msaada kuhusu Biashara ya nafaka

    Habari zenu wakuu, Kama kichwa cha Habari kinavyosema,nahitaji kuanza biashara ya nafaka,mahari ni Dar es salaam Kigamboni hivyo nahitaji kuchukua fremu na pia kununua nafaka kwa bei ya jumla kwa wanaotoa mikoani na mimi nauza reja reja. Msaada tafadhali kwa wenye uzoefu wa hii biashara -wapi...
  3. T

    Kijana mchapakazi wa shambani anahitajika

    Natanguliza salaam, Kijana mwelewa,msikivu, mbunifu na mchapakazi mwenye uzoefu wa kilimo (anae jua kulima) anahitajika Awe tayari kukaa huko huko shambani, shamba lipo karibu na bagamoyo Kula kulala juu yetu,Malipo maelewano Mwenye ndugu jamaa au rafiki ambae ana sifa hizo naomba ani PM
Back
Top Bottom