Search results

  1. E

    Mgogoro wa Ardhi shamba No 7 Mambegwa-Kilosa ni bomu linalotoa Moshi

    Kuna taarifa zinazoenea kuwa, wakulima waliokuwa wakimiliki mashamba katika shamba namba saba lililopo ktk kijiji cha mambegwa wilayani kilosa kunyang'anywa mashamba yao. Ingawaje wakulima hao walipewa mashamba hayo kihalali mwaka 2009 yakiwa ni mapori na misitu minene, lakini inasemekana kuna...
  2. E

    Waziri Mh Lukuvi, Kamata kamata ya Wakulima ktk Shamba namba 7 ktk kijiji cha Mambegwa Kilosa inaumiza wakulima

    Ndugu wana bodi Kumekuwa na kamata kamata ya wakulima wanao lima shamba namba 7 ambalo lipo ktk kijiji cha Mambegwa wilaya y Kilosa. Inasemekana kuwa shamba namba saba amepewa muwekezaji mwaka 2015,na amepewa karibia ekari 1300. Cha kushangaza ni kuwa, wakulima wao wanasema waligawiwa mashamba...
  3. E

    Natafuta spare part ya Gari

    Wadau Habari za Majukumu.Samahani natafuta Gearbox cover ya Mazda Titan Dash
  4. E

    Upatikanaji wa PASIPOTI MPYA kwa watanzania wanafunzi nje ya Tanzania

    Ndugu wa Tanzania mimi nina ombi kwa Idara ya uhamiaji Tanzania Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza uongozi mzima wa idara ya Uhamiaji Tanzania kwa kazi nzuri wanayoifanya. Kiukweli Idara hii imekuwa ikitoa pasipoti mpya ndani ya wiki moja hadi mbili pindi tu utakapokuwa umetimiza vigezo na...
  5. E

    Otafiire message to Bobi Wine leaves the nation in shock

    OTAFIIRE MESSAGE TO BOBI WINE LEAVES THE NATION IN SHOCK Minister of constitution affair Major General Tahinda Otafiire has stated that army will not allow Kyadondo East member of parliament Robert Kyagulanyi aka Bobi Wine to rule the country. Otafiire warned Ugandans against trusting people...
  6. E

    Niliwahi kutumia bandari ya Dar es Salaam zaidi ya mara 3

    Kwanza TV 16 mins · “Niliwahi kutumia bandari ya Dar es Salaam zaidi ya mara 3, lakini kutokana na uaminifu mbovu na urasimu kwa taasisi za ukaguzi ghafla nikahamia bandari ya Mombasa, wasipodhibitiwa watu hawa bandari zetu zitakufa” Mkurugenzi wa Jayjey Ltd - Humprey Mosha. #KwanzaHabari
  7. E

    Venezuela to close embassy, consulates in U.S.

    CARACAS/WASHINGTON, Jan. 24 (Xinhua) -- Venezuelan President Nicolas Maduro said on Thursday he will close the country's embassy and consulates in the United States, a day after severing "diplomatic and political" ties with Washington. Venezuela's diplomatic personnel will return as soon as...
  8. E

    Natafuta Spare za Mazda Titan Dash TC-SYE6T

    Ndugu wana JF Kheri ya Mwaka Mpya 2019 Samahani wadau, natafuta spare part za Mazda Titan Dash TC-SYE6T,CHASSIS NO.: SYE6T-202022, ENGINE CAPACITY: 1,990 CC, TRANSMISSION: Manual Kwa mwenye uelewa wapi naweza kupata tuwasiliane kwa email engmtoleraibrahim@gmail.com Asanteni sana
  9. E

    Nahitaji Asali Toka kwa wafugaji

    Ndugu wana JF Habari za majukumu, Samahani, nahitaji Asali toka kwa wafugaji, asali hiyo ikidhi haya yafuatayo:- 1. Isiwe imechemshwa. 2.Iwe na uwezo wa kupita test zitakazofanywa na TFDA na TBS 3. Nyuki wawe ni wa porini na ni wale wakubwa 4.Mfugaji au wafugaji wawe na uwezo wa kusupply angarau...
  10. E

    China willing to take over Dodoma,Kampala and Nairobi for 5 years to make them Modern cities

    China has urged East African countries namely Kenya, Uganda, and Tanzania to hand over the management of their capital cities for five years so that they can develop them. Huyu mwandishi wa African Daily, anasema kuwa China inataka majiji hayo matatu yawe kama New York na Shanghai. Kwa habari...
  11. E

    Muswada- Mapendekezo- Sheria ya Vyama vya Siasa-October 2018

    Ndugu wadau wa JF, Naomba kuwasalimu kwa heshima kubwa na baada ya salamu. Naomba nichukue fursa hii kupongeza ujio wa Muswada huu,una mambo mazuri mengi. Ningependa kwa ujumla wetu tujadili haya mapendekezo yanayohusu Muswada wa marekebisho katika Sheria ya Vyama vya Siasa, kama ulivyo wekwa...
  12. E

    Explosive Devices Sent to Clintons, Obama and CNN

    By WILLIAM K. RASHBAUM © Seth Wenig/Associated Press Two explosive devices were found in mail sent to former President Barack Obama and former Secretary of State Hillary Clinton, the Secret Service said Wednesday. Explosive devices were sent to former President Barack Obama and former...
  13. E

    Hawa ndio majambazi wajinga zaidi nchini Ubelgiji

    Armed robbers walk into a shop. The owner asks them to come back later when he has more money, and when they do... It feels like the makings of a joke, but for a Belgian e-cigarette shop owner this was a frightening reality. © BBC Six robbers walked into a shop... Six people entered Didier's...
  14. E

    Tunauza Hoverboard zenye Ubora

    Wadau wa Scooting,kwa sasa tuna vifaa kwa ajili ya scooting(hoverboard),hivi vinaweza kutumika kwa ajili ya watoto na watu wazima pia. Vifaa hivi vina ubora wa hali ya juu na bei zetu ni karibu na bure,tunauza kwa reja reja na jumla Ukubwa wa Battery ni 36V 2.4AH, Tairi size yake 6.5 Inch...
  15. E

    Ongeza rutuba kwenye ardhi yenye alkali

    Ndugu Wakulima wenzangu, habari za majukumu Moja ya tatizo kubwa linalopunguza uzalishaji wa mazao kwa wakulima wetu ni matumizi ya Ardhi yenye alkali kubwa kupita kiasi. Hapa namaanisha utakapopima udongo wako na kukuta pH yake ni zaidi ya 7 elewa kuwa huo udongo ni wa alkali na pH huenda hadi...
  16. E

    Immigrants From 'Shithole' Countries-Like Africa

    In an Oval Office meeting with lawmakers on Thursday, President Donald Trump described Haiti and African nations as “shithole” countries and slammed the idea of restoring protections for immigrants from those regions. “Why are we having all these people from shithole countries come here?” the...
  17. E

    TRA-MOROGORO Naomba ufafanuzi juu ya aina hii ya Fine

    Habari za Majukumu Walipa Kodi Wenzangu Mteja angependa kupata ufafanuzi Kutoka TRA-Morogoro juu ya aina hii ya faini. Tarehe 20/01/2017,mteja alikwenda TRA-Morogoro kufanyiwa makadirio yanayohusu kodi ya mapato kwa upande wa gari yake na hii si mala ya kwanza kufanyiwa makadirio kwa gari...
  18. E

    Wakulima wataendelea kunyanyasika mbele ya wafugaji

    Wadau, ktk pita pita yangu mashambani nilikutana na kisa hiki ktk picha,baada ya kuwafumania wafugaji jamii ya kimasai wakiwa wameingiza ng'ombe ktk shamba la mkulima ktk kijiji cha majambaa-kichangani kata ya msowero-kilosa-morogoro. Tunadhani ugomvi wa wakulima na wafugaji utaisha kweli?
  19. E

    Nafuta soko

    Wadau kwa yeyote anayeelewa wapi naweza kupata soko la NYANYA MAJI na MATANGO anijurishe,iwe Tanzania ama nje ya Tanzania napatikana kwa 0714766823 Asanteni sana
  20. E

    Kodi hii ipunguzwe

    Kodi hii inayokatwa ktk mishahara ya wafanyakazi wa umma ipunguzwe imekuwa ni kero.kwa mfano mfanyakazi anapata mshahara wa 1,255,000.00,lakini analipa kodi 232,280. Kodi yote hii inakwenda wapi na inafanya mambo gani ya msingi ambayo yanaonekana ktk macho ya umma?
Back
Top Bottom