Hii unaenda chaka mzee karudie kusoma. Akichukua Chasiv Yar anajiwekea wepesi wa kuichukua Donbas yote na sio Kiev.
Halafu mbona sikumbuki kuona hii ID tokea vita imeanza? Sio wewe kweli jamaa aliweka picha ya General Surovikin ukauliza ni nani?
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Marekani pamoja na kumchukia sana Urusi hawezi kamwe kuwawezesha ukraine kuwa na nyuklia kwasababu sio mjinga!
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Gorbachev alikua kibaraka wa west ndio maana hata alipofariki hakupewa mazishi ya kitaifa hata kwa kuzingatia ndio alikua rais wa mwisho wa USSR.
Warusi hawawezi kumsamehe kwa hilo kamwe.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ingia YouTube andika "RFK Jr on ukraine war" utaongeza kitu. Havutii kumsikiliza lakini utapata madini.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Nini kilisababisha Cuban missile crisis? Ni kwanini ilitaka kusababisha WWIII? Ukishapaelewa hapo bila bias hautopata shida kuyaelewa matendo ya Urusi kwa ukraine (Hii sitaki hata kuiandika kwa kuanza na caps).
Urusi baadae walikubali kutoa majeshi yao East Germany kwa makubaliano gani...
Unajua Israel walishambulia ubalozi wa Iran Damascus ili Iran ajibu waingie kwenye vita washambulie vituo vyake vya nyuklia.
Sasa unajua program ya nyuklia ya Iran haijafikia level ya kutengeneza bomu la nyuklia kwaiyo wakileta ujuaji watapigwa na progress yote waliyoifikia kwa miaka mingi na...
Niliacha kushabikia mpira siku VAR imeanzishwa kwasababu ilikua rasmi inaubadilisha mpira kutoka kua mchezo na kua video game.
Lile lingekua goli bora la mashindano bila ubishi.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.