Binafsi huwa sipendi mambo ya kuitukana serikali na wanasiasa lakini katika hali ya uchumi ilivyosasa kuna mpango kambambe ushapitishwa na HARUNA MASEBU na wenzake kuwa kila aliyechimba kisima cha maji nyumbani kwake atatozwa fees
This is unfair na nadhani its about time tukaanzisha petition...
katika hali ya kawaida ofisi yake toka saa 6 usiku ilitakiwa ishapandisha ripoti live kwenye website lakini ukweli ni kuwa jamaa hataki na sijui anaficha nini
National Audit Office of United Republic of Tanzania
lakini ana mtetetzi wake atakuja kutea hii incompetency yake na ofisi yake
Waziri kivuli wa afya mbona kimya juu ya ufisadi Medical stores?
waziri kivuli wa utamaduni mbona yuko kimya juu ya ufisadi unaoendelea kwenye wizara ya emanuel nchimbi? (serikali kugharamia mazishi ya kanumba, sheria na miswada kuandikwa kwa kiingereza, ripoti muhimu zote kuandikwa kwa...
I wish watu wa Ikulu Dar wangekuwa na guts kama hawa jamaa wa Nairobi :
............................................................................................................
What Kibaki's snub means for old Europe
There is bad news for those aggrieved European diplomats whose...
pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei
I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.
sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press...
Nimeshindwa kumaliza kuhesabu wako wangapi lakini mimi naona wanamaliza pesa za walipa kodi
wabunge wanaotakiwa kuwepo bungeni wawe watu waliochaguliwa na wanancho na sio watu wanaokwenda mle kwa sababu walemavu au wanawake au wake za watu
sijapioga mahesabu kila mbunge maalum anatucost how...
Nimesikiliza interview yake aliyoifanya ambayo imepostiwa michuzi blog. Inaonekana huyu yuko out of touch na maendeleo ya dunia
Hoja zake kubwa ni hizi:
1. Anasema hakuna haraka ya kujiunga na Federation kwa sababu wananchi hawajaelemishwa...ni kweli kabisa lakini amesahau kuwa hili suala...
Jamani nina kontena zangu ziko China nataka kuingiza bongo sasa naambiwa kuwa nikitaka niwatumie HSC kwani sitolipa ushuru mkubwa huko TRA kwa sababu jamaa wameishikilia vilivyo TRA na Customs, sasa mnanishauriri vipi maana siku za nyuma nilisikia kuwa jamaa mambo si mazuri huko TRA.
Mnasemaje...
Nadhani wengi mmeona facebook za mgomo wa madaktari na twitter zinavyovyurumushwa kila sekunde
hivi kwa serikali ambayo bado inategemea kutoa habari kupitia michuzi blog na gazeti la uhuru inawaweza kweli hawa jamaa?
Naona mpaka New York Times wanapata news za mgomo wa madaktari kupitia...
Waziri kivuli wa afya kajificha huku raia washaanza kufa kutokana na mgomo wa madaktari
sasa cha kujiuliza kwa nini amekuwa invisble bila sababu za msingi?
Kwa kukaa kimya inamaana anatekeleza ilani ya uchaguzi ya chama kipi?
Kwa nini huyu waziri kivuli amekuwa na tabia za ki CCM CCM ?
Hivi mbona hatumwoni waziri kivuli wa Afya toka CHADEMA akipita kwenye vyombo vya habari kutupatia msimamo wao juu ya mkutano wa PM na madaktari?
Je CHADEMA wanakubaliana na madaktari kumpa Rais ultimatum juu ya suala la maslahi yao?
Je CHADEMA wako upande upi juu ya hili sakata ambalo...
Mahingila ambaye ni bosi wa BRELA anashauriwa aende Rwanda akajifunze
Kufungua kampuni Tanzania ni minimum mwezi mzima (maximum miezi 3)
Kufungua kampuni Rwanda ni dakika 25 (maximum dakika 30)
Ku search business name BRELA ni shilingi 30,000 (Rwanda ni free online)
Ku register kampuni...
Hii kampuni ni ya nani?
shareholders wake ni akina nani?
Majibu yapo BRELA lakini kama mnavyojua website haifanyikazi.
Wengine wanaiita Mirambo Ltd. Sijui lipi sahihi, kuna madudu!
Sasa hivi ni wiki nzima website yao haipatikani sasa jiulizeni wawekezaji wanapata vipi habari za uwekezaji wakati TIC wamefanya ufisadi wa kufunga website yao?
http://www.tic.co.tz/
Inamaana Ole Naiko na Samuel Sita lao moja?
Kama Ole naiko umeshindwa kazi kwa nini usiachie ngazi tuu tukajua...
Sikiliza hii interview
WUWM: Lake Effect - Tuesday February 21, 2012
Lakini namwonea huruma Mwanaidi anajitahidi wee lakini hajui kama on the ground akina BRELA, NAGU na NYALANDU wanafanya kila jitihada kuwakwamisha
Inawezekana vipi ku register kampuni Tanzania ikachukua mwezi mzima?
Kufungua kampuni Rwanda ni Bure/FREE (ukifanya online)
Wameweka muda wa kusubiri kwenye foleni maximum ni dakika 25...halafu wamepiga na hesabu hatua zako za miguu ukitembea hivyo usipate longo longo....
Hii imetoka kwenye mtandao wa BRELA.
Halafu mnasema mtawafikia RWANDA, KENYA na nchi zingine. Tanzania serikali yetu inafanya kila jitihada kurudisha watu nyuma. Kweli kwa bei hizi mtu ataanzisha kweli kampuni?
Kwa nini isiwepo uniform price tuseme:
ONLNE REGISTRATION Tshillings 10,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.