Miafrika ni mipumbavu inalalamika kuibiwa miaka yote. Ni mzazi mpumbavu ambaye analalamika kuibiwa halafu analala mlango wazi. Anaenda kuwaomba waliomuibia au anawaleta wamfanyie kazi nyumbani kwake. Wewe ni akina Chief Mangungo wa Msovero. Unadhani una akili then unadhihilisha huna.
nimegundua dogo hujielewi na huna akili hata kidogo . hebu uliza akina nani wamejazana wapi ..... hakuna wakristo wanaoweza enda kaa nzchi za kiarabu. ila angalia waarabu hata wakimbizi wanavyotaka kwenda ishi ulaya na marekani..... dogo wewe utakuwa Division 5 ya kikwete. upo mtupu sana
Mbona sijasema Iran kununua vitu vya America ni kosa? Lakini America si ni makafir? Kwani waamerika wanasemaje kuhusu waarab? Hatujataja Dini. Wewe umeleta uislamu. Kumbe hapa ni America na Arabs au Europeans. Wewe inaonekana hata akili huna.
Umepaniki kwa issue ndogo sana. Us ana visima vya mafuta ila hachimbi. Unajua why? Usa huanza kutumia vitu vya wengine kwanza akitunza vyake ndo maana ana visima vya mafuta gallons and gallons lakini ananunua kwa waarabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.