Mjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana mavhachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni mkubwa kuliko Jay Z kwenye mtandao wa YouTube.
Mjadal huo uliendeshwa na vijana wenye vipaji na...
Request For Proposals To Provide Consultancy Services
BACKGROUND
Young Africans Sports Club (“Yanga”) founded in 1935 is a professional football club based in Jangwani, Ilala District, Dar es Salaam, United Republic of Tanzania. Renowned fort its historical success, the club has secured a...
Aziz Ki hatimaye amemalizana na Yanga na sasa anaenda kucheza South Africa. Bado sijapata uhakika ni timu gani ila kati ya Kaizer Chiefs au Orlando.
Yanga wameshindwa mpa ofa anayotaka. Sad part Aziz anaondoka kama mchezaji huru.
Its over, ila mbadala wake Yanga wanakaribia kumalizana nae...
Ukiondoa Majani hakuna producer mwenye hits nyingi kumshinda S2kizzy kama yupo mlete hapa.
Producer tunampima kwa hits, numbers na impact sio umependa vinanda vya Pancho unasema hakuna kama yeye tuletee supporting evidence.
70% ya nyimbo zilizoenda za Mika ni dance hall sababu kubwa wakati huo dance hall ilikuwa juu kama amapiano sasa hivi, nyimbo kubwa zikitoka Jamaica lakini pia S2KIZZY anatengeneza miziki yote hiphop, bongofleva, RnB, zouk na afro fusion. So hakuna kitu Mika kafanya zombie hajafanya. Pengine...
Kwa mujibu wa vijana wa 90s hakuna msanii wala producer wala muziki utakao kuwa mzuri kuliko wakati wao na yoyote ataetoka na kuonyesha namna amefanya mambo makubwa kuliko wasanii wa wakati wao basi atashambuliwa sana na kumwambia yupo kwenye zama nyepesi anatakiwa afanikishe vitu vyake kwa...
Producer kupotea ni lazima sababu muziki una kipindi chake na radha zinabadilika. Kina Mika mwamba walitengeneza dance hall muziki wa Jamaica sababu ndio ulikuwa juu wakati huo, lakini sasa ni wakati wa piano usipotengeneza watu wanaenda kwa anayezitengeneza.
Nenda club yoyote usiposikia nyimbo za Chino njoo nikurushie laki, inawezekana umri wako hauruhusu kuelewa sanaa inayofanyika zama hizi ila haiondoi uhalisia kuwa ni kazi nzuri watu wanafanya na wanaendesha maisha yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.