Kichwa cha thread kinajieleza
Ukifuatilia utendaji wa Makonda kwa sasa utatambua Kuwa ameujua Ukweli
Watanzania hadi vijijini wameshaamka ila bado Watu wa DSM ndio wamekariri maisha ya Uchawa
Makonda atarudi kuiongoza CCM muda si mrefu Ili Chama kipate Mtu wa kumkabili Ni Yeye, mwenyekiti...
Balozi wa Marekani amesema ni dhambi na aibu kwa Nchi yoyote kuruhusu mtu mwingine yoyote bila kujali ni America, China au Pluto kuja Nchini kwako kuchukua Rasilimali zako kisha kutengeneza fedha zote za Rasilimali hizo nje ya nchi Yako halafu iseme inakutendea Wema.
Source Jambo TV
Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewaagiza Takukuru kumkamata DED wa Arusha na Watendaji wake wanaotuhumiwa kufisadi tsh 19 million za mwekezaji wa sekta ya Utalij Chamburo
Aidha RC Makonda amepiga Marufuku tabia ya maafisa wa TRA kupeleka Demand Notice za madai ya Kodi wakiwa...
Ni ushauri tu kwa sababu kwa Sera za Chadema na hata sera za madhehebu fulani ya Wagalatia Zanzibar ni Jimbo
Muungano wa Kweli ni Ule wa Serikali 1 tukishindwa tuitafakari sera ya Chadema
Zanzibar ni Jimbo la KKKT wakiwa DMP
Zanzibar ni Jimbo la Anglican church nk nk na wanaokwenda vizuri tu...
Mbunge wa Tarime Vijijini akichangia hotuba ya wizara ya Maendeleo ya Jamii amesema kama hao wanatupa Misaada ya Kibajeti wanatuwekea Masharti ya Ushoga basi Misaada yao hatuitaki
Mwita Waitara alionekana ni mwenye hasira kali sana kiasi kwamba Mbunge wa pembeni yake alikuwa anatetemeka
TBC
Huyu Jerry Silaa ni Deo Filikunjombe mtupu, Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri atatufaa CCM 2030 Kwenye Urais!
Huyu jamaa ukimtazama haraka haraka unaweza kumchukulia poa Ila spiritual na kiuzalendo yuko vizuri kuliko Mawaziri wote nadhani.
Mungu wa Mbinguni azidi kumpa Ujasiri. 😂
Sabato...
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema amekabidhiwa gari lake lililokuwa kituo cha police likiwa halina plate number
Lisu amesema ana Taarifa number za Gari lake zinatumiwa na Mtu mwingine
Credit: Hilda Newton X
====
Mdude: "Lissu amekabidhiwa plate namba za gari yake ikiwa na...
Ukifuatilia bajeti mbalimbali za Wizara zetu utagundua ziko pungufu ukilinganisha na mwaka jana
Unadhani ni Kwanini?
Wenzetu Kenya Naibu Rais Gachagua kajipangia bajeti ya mabilioni kununua magari na kukarabati makazi yake huku makazi ya Wananchi yakisombwa na mafuriko, duniani ni Ubatili...
Kimsingi Wabunge wa Viti maalum kazi yao kubwa ni kupiga makofi na kutoa sauti kubwa ya " NDIO" wakati wa kupitisha vifungu na kazi hii inaweza kufanywa kwa Ufanisi na Robot kwa sababu atakuwepo bungeni muda wote
Pili badala ya kualika CHAWA bungeni ambao Spika hutumia muda mwingi wa Walipakodi...
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Godbless Lema amewataka Wananchi kumlinganisha Robot Eunice wa bungeni na Robot wake aitwaye Chloe ambaye Kazi yake ni kumkaribisha
Robot wa Chadema or sorry Lema yuko Ukurasani X kwa mh Godbless Lema
Nawatakieni Sabato Njema 😃
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amewataka Watanzania kamwe wasikubali kurudi kwenye Bakora za Shujaa Magufuli aliyewanyoosha kwa kuzuia mikutano ya kidemokrasia
Kuna watu wanasema udikteta ni mazuri lakini Mimi nasema unachelewesha Maendeleo, amesisitiza Lipumba
Kumbukeni bakora za Magufuli...
Mwenyekiti wa Chadema amesema Chadema haioni faida ya Demokrasia
Wapigakura wanachagua Viongozi wanaowataka lakini mifumo inaamua vinginevyo kwahiyo Viongozi hawana KIBALI cha Mungu Katika kutawala, amesema Mbowe
Nilipotoka Jela kwa kesi ya Ugaidi nilikutana na Rais Samia na akaniambia kama...
Baada ya kumshangilia Robot aliyekuwa Zamu ya kupokea Wabunge pale Reception ya mjengoni ni vema tukamtafakari pia atakapoingia mitaani
Faida zake na hasara zake
Dr Slaa angeweza kuuliza Robot ni asset au liability?
Jumaa Mubarak 😃😃🌟
Rais Rutto amesema wamefanikiwa kuirejesha Uganda kwenye Bandari ya Mombasa baada ya mgogoro uliokuwepo kupatiwa ufumbuzi
Ruto amesema mgogoro huo ulisababisha Uganda ifikirie kutumia Bandari za Tanzania lakini tumewarejesha
Naye Rais Museveni amemwambia Rais Ruto kwamba anafurahi mgogoro...
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amehoji Kwanini Spika Dr Tulia hakumchukulia hatua mbunge wa Geita Vijijini Dr Musukuma aliyewadhalilisha Watoto wa kike na wanawake kwa ujumla
Karume amelalamika Ukurasani X
Nenda mitandao Yote utamkuta Upendo Peneza Ndio anajadiliwa
LAKINI Leo kuna Hotuba muhimu sana ya Bajeti ya Wizara ya Habari na Tehama ila wadau hawajaichangamkia
Naomba Wakuu hapa JF tuelekeze akili zetu bungeni
Ahsanteni sana 🐼
Nawakumbusha tu akina Clouds, Wasafi, Channel ten nk
Chadema ni blood yaani Uhai kwa walioiamini hata kama Sasa wako CCM kwa sababu za Njaa iliyotukuka kwenye matumbo yao na Ada za Watoto
Imarisheni UVCCM huo Ndio Muarobaini
Mtanishukuru baadae 🐼
Kiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa
Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha Naibu katibu mkuu wao Zanzibar Salum Mwalimu aje kugombea
Wakati mwingine Chadema ni wa kupuuzwa...
Ni Kauli nzito sana
Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema Chama kikuu Cha Upinzani sasa mbunge wa ACT wazalendo Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar kumuundia tuhuma kama hizi ni lazima vyombo vya Ulinzi na Usalama vifuatilie
Muungano ni Tunu ya Taifa
Mlale unono!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.