Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo;
1.Ni kozi ngapi zinafundishwa
2.Utaratibu wa malipo ya ada na fedha ya kujikimu ukoje
3.Mafunzo haya ni ya muda gani darasani na field ni muda gani...
Nimetumia dawa nyingi sasa naona sina jinsi! Mzizi mkavu aliwahi kusema humu kwamba ukinywa mkojo wako mwenyewe mara mbili kwa siku kwa siku7 madonda yanapona!
Nimeanza kunywa mkojo wangu leo nitatoa mrejesho baada ya dozi kuisha! Kwakweli nasumbuka mno.
=====
Nimetumia dawa nyingi sasa naona sina jinsi!
Mzizi mkavu aliwahi kusema humu kwamba ukinywa mkojo wako mwenyewe mara mbili kwa siku kwa siku7 madonda yanapona!
Nimeanza kunywa mkojo wangu leo nitatoa mrejesho baada ya dozi kuisha! Kwakweli nasumbuka mno
Bila kupoteza muda,napenda kuelezea machache kuhusu mtu aitwaye MWESYA yaani MTAKASAJI.Inapotokea mwanamke amefiwa na mume wake,mjane huyu hataolewa tena isipokuwa tu awe ametakaswa na mtakasaji wa wakerewe yaani "Mwesya"..Inakuwaje hii? Wakerewe wana mtu anayeitwa mwesya na jamii inamjua kwa...
Habari zenu wakuu! Napenda kuuliza kwa wenye uzoefu na haya mambo! Cheque namba imetoka tarehe 07.08 ni mwajiriwa upya,je uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi huu wa nane upo? Nawasilisha
Hawa jamaa nawakubali sana! naomba mwenye nyimbo za k basili ''wanipa raha" na nyingine aniwekee nipakue pia mwenye wimbo wa Linex-Aifola aniwekee pia! waptrick hizi nyimbo hazipo! naomba msaada! pia kuna ka wimbo fulani '' ninachokipata nagawana na wenzangu maskini kama mimi,-------'' na huo...
Ni bora kuwa na taarifa sahihi kuhusu mchakato wa ajira unavyoendelea kwa kila usaili unaofanyika,kwa mfano usaili wa mwezi wa sita kuanzia tarehe 14-21 walisema watatoa majibu ndani ya wiki mbili cha ajabu sasa ni mwezi umeisha wapo kimya tunaomba mtupe taarifa hata kama si ya kuitwa kazini...
Nauliza ikitokea CCM wakapitisha katiba yao na UKAWA wakaendelea na msimamo wao mpaka 2015 na wakagoma kuchukua fomu za kuwania urais na ubunge! Je taifa litakuwa katika hali gani au uchaguzi utaahirishwa mpaka waelewane? nauliza ndugu zangu wanasiasa
Baba umekuja! Leo Robert atalala wapi?
Nimetoka kumpokea rafiki yangu bwana mtumishi wa kampuni kubwa ya madini hapa nchini..alikuwa safarini nchini Canada kikazi muda wa siku 34! tumefika nyumbani kwake tumebeba mizigo na zawadi kedekede kwa mkewe ambaye ni mwalimu wa s/msingi hapa jijini...
Kuna mjomba wangu kamkuta mke wangu amenunua dawa ya kuangamiza kunguni! mke wangu yupo kwa mjomba siku ya pili sasa tangu afike hajawahi kulala akasinzia!
Kunguni ni wengi hadi mchana kweupe wanatembea! basi kuona vile mke wangu kaanza usafi wa nguvu.....kadeki nyumba zote na kutoa nje...
Ni mfanyakazi analipwa laki sita na ushee kwa mwezi wizara ya TAMISEMI anaomba kama kuna watu wanakopesha magari kwa wafanyakazi malipo ni makato kwa mwezi kwenye mshahara! naomba majibu na ufafanuzi mwingine kama upo
Naleta swali la ndugu yangu ambaye ni
mwajiriwa miezi miwili sasa! mshahara wake ni
laki sita na hamsini na ushee hela za kitanzania!
anataka kuomba mkopo wa milioni 10 benki
yoyote japokuwa mshahara wake unapitia
NMB,kama nilivyosema ana miezi miwili tu
kwenye utumishi! je anaweza kupata...
Naleta swali la ndugu yangu ambaye ni mwajiriwa miezi miwili sasa! mshahara wake ni laki sita na hamsini na ushee hela za kitanzania! anataka kuomba mkopo wa milioni 10 benki yoyote japokuwa mshahara wake unapitia NMB,kama nilivyosema ana miezi miwili tu kwenye utumishi! je anaweza kupata kiasi...
Kwa wale tuliofanya usaili tarehe 14 hadi 21 june lini watatoa majibu?
Walisema ndani ya wiki mbili sasa muda ushapita na naona wale waliofanya tarehe 06 hadi 12 june tayari wameitwa...Afisa tarafa na afisa tawala zinanihusu.
Ndugu zangu ..naombeni ushauri wenu! mdogo wangu amepangiwa katavi kama kituo chake cha kazi- ni pale pale makao makuu ya mkoa...je ni fursa gani zilizopo pale? vipi kuhusu huduma za msingi kama nyumba ya kupanga maji na umeme! gharama za maisha kwa ujumla sababu mshahara wake ni mdogo TGS...
wana jamvi nahitaji kufungua biashara ya mpesa na airtel money! nina milioni 4 cash...naomba mwenye uzoefu na kazi hii anipe mchanganuo wa huo mtaji na kama kuna faida ya kutosha nitakayopata kulingana na mtaji huo...Nawasilisha
Heshima kwenu wakuu...Naomba msaada wa hii document kwa yeyote aliye nayo' nimetafuta website ya utumishi naona ni kama waliiondoa..Naihitaji sana wapendwa! Heshima kwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.