Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.
Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko...
Kauli yakutisha sana kutoka kwa Waziri Netanyahu. "Watu walio husikakupanga na kufanikisha na mauwaji ya Waisrael mwaka jana ni maiti zinazo tembea" hii kauli hii itaacha vilio vingi sana pasipo majibu
Niliwaambia Israel watafanya tukio lakuishangaza Dunia pasipo kuwepo proof yauwepo wao kupotea kwa helicopter na viongozi wazito wa Iran nimoja ya tukio litawatesa sana magwiji wa ujasusi maana halitopata majibu na uwenda kidoni wakaondoka na vichwa visionekane milele🤐
Azarbaijan ni rafiki mkubwa wa Israel na Iran anataka kujipendekeza na kujifanya mtu mzuri na hayo ndio majibu ambayo hayana majibu. Mauwaji ya Waisrael+++1000 nikiama kwa kila alie shiriki Israel they mean what they mean but no proof
Awali ya yote wanakidoni Binafsi Huwa hatupendi kushabikia jambo bila kujuwa nyuma ya pazia Kuna Nini?
Siku zote ukiona mtu wa operation ana expose ile operation basi ktk jicho lakijasusi maswali Huwa mengi ila pia Huwa na majibu.
Sio jambo lakawaida mtu alie undercover kuwa exposed sio...
Udhalikishaji mwingine ambao Iran hawezi kutuambia nivile jamaa walizima mifumo yao ya kiulinzi kiasi Waka anza tumia manual way kumdungua adui. Israel ni ma genius
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.