Search results

  1. abuuzahraa

    VACANCY: Job Title: Librarian

    Job Title: Librarian Position Description: Swadiq Development Foundation which is located in Dar es Salaam is inspired to open a modern and state ort Islamic Library in Dar es Salaam and is looking for a motivated, qualified, and highly experienced Tanzanian to fill a vacancy of a Librarian in...
  2. abuuzahraa

    Natafuta mkufunzi wa security guard

    Shirika letu la Sadiq Foundation lenye makao yake makuu Dar es salaam linatafuta mkufunzi wa mafunzo ya ukakamavu kwa vijana wetu wa ulinzi. SIFA ZA MUOMBAJI; 1. Awe Askari polisi au Mwanajeshi mstaafu mwenye uzoefu na mafunzo ya ukakamavu zaidi ya miaka 10 2. Awe hajawahi kutuhumiwa na kosa...
  3. abuuzahraa

    Tangazo la kazi

    Asasi ya Sadiq Development foundation (SDF) Inatangaza nafasi za ajira fani zifuatazo: 1. Librarian: nafasi 2 KAZI: Kusimamia na kuendesha library ya vitabu vya dini. Sifa: Awe na Diploma au Shahada ya kwanza ya fani husika. Awe anafahamu vizuri kiarabu na Kingereza. Awe na umri si zaidi ya...
  4. abuuzahraa

    Mdahalo Shirikishi: Watanzania Waarab au Wahindi wako wapi kwenye uongozi wa taifa letu?

    Ukwepaji wa Kodi ni kosa la kijinai kama makosa mengi Tatizo katika kosa hili mkwepaji anashirikiana na watu wawili Maafisa wachache wasio waaminifu wa Mamlaka ya Mapato na Raia aliyenunua. Kama lau kila raia angetumia busara na kuhakikisha anapata risiti sahihi katika kila Mauzo tungepiga hatua...
  5. abuuzahraa

    CCM hamna haki kwa mwanachama kugombea mpaka upendekezwe?

    Je ni kupanuka demokrasia ya ndani ya chama, au kumaliza mtandao wa mikoa ni mtego wa kumjua asiyetaka kikwete ili aje kuadhibiwa:banghead:
  6. abuuzahraa

    Tawalani nyoyo za waislamu na acheni miili yao

    Natoa rai kwa watawala na serekali wahangaike kuzitawala nyoyo za waislamu. Na waache kupambana na miili yao, Hakuna sehemu yoyote duniani mtawala alishinda kwa kukujilimbikizia silaha, mabomu ya machozi, Maji ya kuwasha na vikosi vya fujo ili kutawala miili ya raia wake. Punde si muda mrefu...
  7. abuuzahraa

    Hivi kwanini Mahakimu uitwa Waheshimiwa

    Mi nadhani ni mazoea tu ya wabongo kutukuzani Huko kwa wenzete hilo neno hata ni gumu kulipata translation yake. nadhani watanzania tunasumbuliwa na "Inferiority complex syndrom"
  8. abuuzahraa

    TRA wameniomba rushwa lakini sitoi rushwa kwenye maisha yangu

    Kaka wala usipate tabu TRA inauwezo (Caspacity) ya kuwashughulikia hao watu Tatizo ni kuwa Haipati ushirikiano wa Kutosha (Rushwa ni Siri). Kwa taarifa yako na Umma ni kuwa Mamlaka ya Mapato inacho kitengo kinaitwa "Internal Affairs" Kazi yake ni Kufanya uchunguzi (Investigation) kwa Tuhuma zote...
  9. abuuzahraa

    Azimio la Morogoro tarehe 13/02/2011 - Boma Road

    Chokochoko zipo ukingoni Leo tumesema Na iwe basi na kweli we mean Enough, Tuwe tumesoma au tunashinda misikitini Saa itakapo fika ndio Kitajulikana...
  10. abuuzahraa

    Azimio la Morogoro tarehe 13/02/2011 - Boma Road

    waislamu tunaunga mkono matamko yote yaliotanguliwa tunalaani njama za kuwagawa na kuwaziba midomo waislamu kudai haki zao. maaskofu waache kuingilia msuala ya waislamu kama wanataka amani. tunalaani mauaji ya mwembechai na serekali iunde tume ya uchunguzi. tunaunga mkono mchakato wa katiba...
  11. abuuzahraa

    Ugonjwa wa ajabu huoo !

    KIJANA HUYU AMEKUWA AKITOKWA MACHOZI YA DAMU KWA MUDA SASA WAZAZI WAKE WAMETAFUTA WATAALAMU LAKINI MADAKTARI BINGWA HAWAJUI UGONJWA HUO UNASABABISHWA NA KITU GANI. KATIKA MAELEZO YAKE MUATHIRIKA KIJANA WA MIAKA 15 CALVINO KUTOKA JIMBO LA Tennessee, ANASEMA YEYE KASHAZOE NA WASIWASI WAKE MKUU...
  12. abuuzahraa

    Nani mwenye waraka wa waislamu

    Ndugu wanajamii wenzangu nani amebahatika kuupata waraka wa Wa waislamu tafadhali tunaomba uuweke mtandaoni sote tuusome.
  13. abuuzahraa

    Nani mwenye waraka wa waislamu

    Jamani wana jamii wenzangu nani? amebahatika kuupata waraka wa waislamu atuwekee soft copy mtandaoni tuusome.
  14. abuuzahraa

    The World's Most Powerful Women

    Mimi huyo namba 1 nahisi kilichowavutia zaidi ni lile bango lake lilozinduliwa mwaka huu la uchaguzi mambo yake aliweka hadharani Tizama kifua Ndio maana sisi watanzania ni marufuku wanawake kugombea Uraisi
Back
Top Bottom