Mkuu itakubid upige hesabu ya watts za iyo monoblock na watts za spka... Alafu wao wanatoa monoblock kwasab sio kila gar inahitaji kuwa amp ya mids na Tweeter kwaiyo wanaleta monoblock ili uongeze tu sub woofer.. gar kama bmw.. aud na nyingine mara nying huwa zinakuwa na factory amplifier...
Monoblock amp huwa ni ipo na single chanel ndo maana imeitwa mono.. sasa huko ulikosoma kwamba wanarecomend utumie monoblock wao wametarget tu kwenye upande wa aub woofer... Je unadhan kwenye mids na tweeter za gar itatumika monoblock???? Jibi hpna.. na utakavotumia monoblock kumbuka utatumia...
Ujue kutengeneza spika sio kutengeneza kitanda boss, mm nipo ktk iyo field najua .. Kwa fund wa electronics anaetaka kutengeneza spika na akiwa hajui kanuni na taratib za spika alimpa fund selemara Yan atafanya madudu tu.. kwaiyo sisi wenyewe ndo tuwafundishe maselemala spika huwa zinakuwaje ktk...
Yan nyiny hamjajua shida ulipo.. Kwa uzoefu wangu wa 10 yrs .. Kwanza hakuna MTU anapenda kuumiza kichwa.. pili mafund mbao wengi sio wabunifu vitu vingi wanafanya ni vile vile Kwa kutumia kanuni zile zile. Sasa ukimleta kwenye secta ya spika unamwambia spika tunahitaji itumie gundi nyingi...
Hatutakiwi Kununua box kama zile tunatakiwa kuunda box kama zile either Kwa mtindo. OEM au lah.. coz ukifanyia OEM inakuwa ni ya muundo wako na ndio kitu nataka mm nianze kufanya
Design ndio hizo unazoziona , sema tu finishing si nzur . Na mnaposema mafundi mbao niwape na mpaka sasa wanafanya hao hao mafund mbao saiv mm nimracha kuchonga.
Kuna Jambo inabid mjifunze kidogo hapa, ujue haya Mambo tunayafanya Kwa nchi yetu ni mageni kidogo ndio maana hata upatikanaj wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.