https://youtu.be/_Su0jl5iT8g?si=zmpkgs-pEQ3ZxdBC
Hamasi kashinda vita masharti yake yote yamekubaliwa, Israel atoe majeshi yake yote Gaza, arahusu vitu kuingia Gaza, awachie matekwa wa ki Palestine, aijenge Gaza hapa ni America na wake .afala wa kiarabu ndio wataijenga Gaza.
Cha msingi...
Netanyahu alisema hata toka Gaza ataitawala atahakikisha Hamasi imekwisha tena hata ruhusu Hamasi abaki Gaza, leo anasema kakubali kutoa jeshi Lake lote Gaza, kakubali kuruhusu misaada iingie Gaza, kakubali kuijenga Gaza yeye na America na warabu vibaraka vya America.
Alicho ongea Biden hayo...
https://x.com/analysis_2024/status/1796606994037793141?t=AwEkBjl1nR3yer1hxMSPgA&s=19
Wanamalizwa pale Rafah leo vifaru na magari 34 yame pigwa ona Wanajeshi wa Netanyahu wanavyo enda motoni mapema
Wapenda mavi ni watu wakanisani ndo za jinsia moja zinafungwa wapi?
We kaa hivyo hivyo leo kapokea kipigo US hata kisahau kutoka kwa Yemen
https://youtu.be/ic2UYgJqANo?si=VdirtyBIkHsLYmWx
Hao Israel wanaomba sasa peace na Hamasi, kwanza walikataa hayo hayo mazungumzo aliye kubaliana nao Hamasi, wakajidai hawataki yanawapa ushindi Hamasi leo anayakubali kwa kumtumia Biden afu hapo hapo wanajidai Biden kama Biden ndio katakana vile wakati Biden anasema Israel 😄
Sasa Hamasi...
Takriban meli 20 za kivita zikiwemo USS Eisenhower na ndege hamsini za kisasa za kivita
Licha ya hayo, wanajeshi wa majini wa Yemen waliishambulia kwa bomu meli ya kubeba ndege ya Marekani "SS Eisenhower" na kuipiga kwa mara ya kwanza tangu Vita vya Pili vya Dunia.
US na Uingereza watajisumbua...
Terrorists ni hao wavaa misalaba na Netanyahu na wenzao.
Hamasi amefanikiwa juangusha uchumi wa Israeli na mataifa wanao msaidia.
Hamasi anashikilia matekwa mpaa leo huyo Netanyahu alijidai atawakomboa kwa week tatu tu 😄
Hamasi kashangaza watu walio kuwa wakidhani Israeli ana one of the best...
Nani aliye kuambia wa Palestine watakwisha? We naona unataka kuchukua majukumu ya Mungu sasa, mpa usema watakwisha.
Hakuna taifa linaweza kumalizwa kwa vita unless Mungu ndio atake?
Wa Palestine watabaki hapo na Israel watakwisha hapo huwezi kupigana na mtu ambaye haogopi kufa.
Wanajeshi wa...
Tuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.
Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?
https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe
Mkuu nakuliza swali kufa ni amri ya Mungu au Netanyahu?
Kufa wewe unaweza kufa wakati unatype hapa, ikifika mda wakufa utakufa tu, kuna sababu tu ya kila kifo inaweza kuwa maradhi, majambazi, mnyama au hata mke wako au ndugu zako sa mambo ya kifo yasikusumbue sana.
Hamas ni wanaume wacheni...
We piga kelele tu sisi hatuogopi kufa tunajua wazi kila kifo kilisha pangwa na Mungu tarehe, wakati, Sehemu na sababu.
Mimi namini Israel kisha changanyikiwa hajui anafanya nini ndio mana anapiga raia.
Hamasi hawawezi wale ni wapiganaji wazuri, wanajua wapi time ya kuvamia na sa ngapi time ya...
Tatizo ya kuoa miyanamike umeikuta barabarani ndio hayo.
Warabu wanamsemo ukitaka kuoa chunguza mjomba wa huyo mwanamke kwanza, au wajomba zake ukiona wanatabia nzuri basi hata mama wa huyo mtoto atakuwa na tabia nzuri na bint yake atakuwa anatabia nzuri.
Wengine wakiona sura nzuri na mwili...
😄 jifurahisheni tu masharti ya Israel matatu walio weka hakuna hata moja lililo fanikiwa.
1 Kukomboa Matekwa
2 Kuivunja Hamasi
3 Ku destroy tunnels
Lipi kafanikisha hapo?
Hamasi yupo, tunnels zipo, matekwa wako chini ya Hamasi.
Huko Rafah hakuna kitu ni Matent mengi tu labda wamekusudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.