NCHI 10 ZENYE AMANI ZAIDI DUNIANI
Hebu fikiria nchi kumi zaidi zenye amani duniani,unaishi katika moja ya nchi hizo, watu
wamestaharabika, hamna vurugu wala uonezi wowote unaofanywa, iwe wao kwa wao na hata serikali zao, zinajali wananchi wake na mali zake,zinawasikiliza wananchi na hamna wizi...
BURKINA FASO PRESIDENT TRAORE BOUGHT 400 TRACTORS INSTEAD OF BUYING EXOTIC CARS. SEE THE REASON.
https://www.youtube.com/watch?v=tJqaGdf5OLc&ab_channel=InterVlog
Na bado sana Watu watajiuwa wengi wewe unga mkono ujinga wako wa kodi ya mama ntilie ipasishwe bungeni. hali izidi kuwa ngumu kwa watu wa kipato cha chini inaonyesha weweni mtu wa Serikali unaunga mkono hoja pumba za baadhi ya Wabunge.
Wazungu wanaye msifia Mama Rais ndio maaduwi zetu wanatunyonya maziwa yetu taratibu huku tukiwafurahikia kumbe wao ni maaduwi zetu hawatutakii mandeleo yetu wanataka bara la Afrika lisiwe na maendeleo yoyote yale.
WAZUNGU WALIMUUA GADDAFI KWA SABABU YA KUTAKA KUIUNGANISHA AFRIKA/AMKENI WATU...
Mjinga wewe usinitukane kama umekosa hoja bora usinijibu umeleta Mada ya kumlipiza kodi Mama Ntilie kisha unaniita mimi mjinga? Mjinga wewe usiyekuwa na huruma ya mama ntilie angelikuwa ni mama yako ungeweza kumlipisha kodi? acha upumbavu wako wewe unamuunga mkono Mbunge ambae hata kodi halipi...
Kipato wanacho kipata ni kidogo hakiwezi hata kumtosheleza mahitaji yake ya nyumbani utakuta mam ntilie hana mume ana watoto 3na wote wanamtegemea yeye halafu mama huyohuyo ntilie unamtoza kodi atawezaje kumudu maisha yake?Si unamnyonya mama ntilie ?unataka akafanye umalaya ili apate pesa?
Acha chuki zako wewe unataka Serikali iwakomoe Walala hoi kwa kuwatoza kubwa halafu wakati w auchaguzi unafikiri wananchi wataichaguwa tena CCM ili itawale?Umnyonye malal hoi kwakumtoz akodi kubwa uwache matajiri wakubwa wanalipa kodi kidogo halafu unafikiri hao hao wananchi uwaombe kora zao...
Nchi yetu ni ya ajabu sana eti Mheshimiw ambunge huyu anataka kumlipisha kodi Mama Ntilie Wakait matajiri wanalipa kodi kidogo sana Wafanya biashara wakubw wa madini na wengineo wanalipishwa kodi kidogo unataka kumlipisha kodi mama ntilie?ahhh ama kweli Mheshimiwa Mbunge huna hata huruma...
UNATAKA KUWAONA WACHAWI AU MBAYA WAKO TUMIA BAMI.
ONYO: 👉USIFANYE DAWA HII KAMA HUNA KINGA MWILINI MWAKO MCHAWI AKIKUGUNDUWA UMEMUONA ATAWEZA KUKUROGA NA KUKUMALIZA MAISHA YAKO.
UKIFANYA DAWA HII WAKATI HUNA KINGA MWILINI MWAKO SHAURI YAKO MIMI SIMO MCHANGA WA PWANI HUO.😍:xqcDitch:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.