Habari za asubuhi Waheshimiwa viongozi wangu. Nimefarijika kuona taarifa mpya kutoka serikalini kuhusiana na "digital marketing".
Ushauri wangu kwenu na kwa walengwa wengine katika sekta ya biashara na uchumi, hususan biashara za mtandaoni.
Kama kweli kuna lengo thabiti la kuifungua nchi na...
Habari.
1. Mnatuunganisha ktk huduma zenu bila ya kwanza kupata ridhaa za wateja wenu.
2. Kuna hii huduma ya KAMILISHA. Hii huduma ni kama ni ya kulazimisha vile. Na kujitoa ni shida. Mara ya mwisho ilibidi nitaabike kwenda ofisini kwao kuwaomba wanitoe. Na ilibidi nilipe deni ambalo hata...
Kwa heshima na taadhima.
Nakuomba Rais wetu tuwezeshe sisi ambao tunapigania fursa za biashara za nje ya nchi tuweze kupata huduma ya PayPal nchini.
Ninaandika kwa uchungu sababu nchini fursa ni chache na tunapigania kupanua wigo wa kazi zetu kwa kujiingiza ktk masoko ya kimataifa lakini...
Habari za leo wandugu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Jina: Amedeus Apolinary Masawe
Umri: Miaka 14
Siku ya mwisho alikuwa amevaa track suit ya kijivu na mistari myeupe pembeni, t shirt ya rangi bluu na viatu rangi nyeusi.
Mahali anapoishi na wazazi wake ni Njedengwa, Dodoma.
Amepotea...
Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nataka kujua wanapotoa huduma hii Dodoma. Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anisaidie tafadhali
Natanguliza shukran zangu
Habari za Leo,
Kuna Bwana anaitwa Ibrahim Shaaban amepata ajali ya bodaboda Dodoma siku nne zilizopita.
Yeye alikuwa ni abiria ni kijana tu hivi, yeye na Dereva wa bodaboda wamefariki. Maiti yake iko motuary Dodoma.
Tafadhali sambaza taarifa hizi na Mola Muumba atakulipa.
SPECIAL OFFER!
Kwa kila kazi moja ya kutengeneza logo utakayofanya na mimi Utapata offer ya bure ya
1. Proforma Invoice Template.
2. Tax Invoice Template
3. Delivery note template
4. Headed Paper Template
5. Biz Card Template
Email: logoriddim@gmail.com
Ili kujiridhisha juu ya uwezo wangu...
Natafuta adobe illustrator ambayo sio ya ku crack. Iwe na serial number zake.-
Pls Contacts me (mobile/whatsapp/viber): +255 688 999006: +255 688 999006
Za leo wakuu. Najipanga ili Mwenyezimungu akipenda nijiingize ktk production ya mafuta ya alizeti. Naomba msaada Wa yeyote anayejua upatikanaji Wa mashine ya kusagia alizeti uko vipi.
Mimi ni Mtanzania mjasiliamali mchoraji wa nembo (logo). Hapa nakuonesha baadhi ya kazi ambazo nimewafanyia wateja mbalimbali kutoka nje ya nchi katika kipindi kifupi. Hii ni changamoto kwa wajasiliamali wote nchini.
Msingi mkubwa wa mafanikio ni ubora wa kazi au bidhaa yako; kujiamini...
Je, unahitaji logo (nembo) kwa ajili ya mradi au biashara yako? Bei ni 90,000/- tu. Ofa ya bure! 1. Letterhead Template 2. Proforma Invoice Template 3. Tax Invoice Template na 4. Biz Card Template.
Tafadhali wasiliana nami:
(Mobile/Viber/Whatsapp): +255 688 999006
Email...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.