Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa kujibu hoja zake.
Pichani: Lissu akilikagua gari hilo kabla ya kuondoka nalo
Baada ya kuandika Chadema inamilikiwa na Mbowe , Jambo ambalo ni Uongo wa kishamba sana, natangaza rasmi kukudharau moja kwa moja katika kipindi chote hicho kifupi ulichosaliwa nacho hapa Duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.