sina utaalam nayo ni machine ya kutengenezea hayo mawe, hiko Poland, inauzwa mil 60 Tsh, pamoja na kukusafirishia mpaka Dar, mwenye nayo kaniomba nimtafutie mnunuzi, kama utakuwa unaijua na kuna vitu unataka kujua niulizie ni vitu gani nami bila hiyana nitamuulizia tu.
nimepita kwenye web ya Djchoka Bongostarlink.com nikasikia hizo nyimbo za maombolezo ya msiba wa ndugu zetu wa zenj, nimeona tushare kwa wale watakaopenda. kama si mahali pake sorry.
WanaJF hii nimeiona kwa Mjengwa nikaona bora tushare,siyo wote mnaokwenda huko, kama siyo mahali pake i am sorry ihamishwe.hivi ni nguo tu imekosewa badala ya bendera ya iraq wameweka ya kwetu ama kuna chochote ambacho sikijui?mahelezo yaliyokuwepo kwenye hiyo picha.
A U.S. soldier (L) from...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.