Habari wakuu!
Gari Rav4 1996 engine model 3S-GE ina tatizo la kuongeza kasi (acceleration), inaanza vizuri kutoka 0-50, baada ya hapo inajivuta sana kwenda 60,70 na 80. kupata spidi 100 inakuwa ni shughuri hata ukikanyaga peda mpaka mwisho kunakuwa hakuna mwitikio, kwenye milima/miinuko...
Heri ya mwaka mpya 2015 JF!
Maji ninayotumia ya kisima cha kuchimbwa yana wadudu mithili ya minyoo wadogo wadodo, nimepita maduka kadhaa Arusha kutafuta dawa ya kutibu maji sijapata. Tafadhari naomba anayejua dawa ya kutibu maji ya kisima na mahali inapopatikana, natanguliza shukrani.
Heshima wakuu.
Ni kwamba mwaka jana wakati na install Kaspersky Internet Security (KIS) 2012 niliweka password Parental Control sasa nataka kuinstall KIS 2013, in the process of installation nikaambiwa niingize current password, bahati mbaya nimeisahau hiyo password, nimejaribu kuingiza...
Hello
Greetings to ALL JF members. After enjoying this site as guest for a couple of months ago and finding it helpful. I am very much excited to officially join this community. Its my pleasure to take part of the discussion.
Thanks and regards
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.