Droo ya Klabu Bingwa Ulaya kwa msimu wa mwaka 2021-22 inachezeshwa leo huko Instanbul, Uturuki kuanzia majira ya saa 5pm (BST) au saa 1 jioni (Saa za Afrika Mashariki)
Timu 32 zitashiriki katika kupangiwa makundi, 26 zikiwa zimepita moja kwa moja na nyingine 6 zikitokea katika play-offs
Tumu...
Fainali hii inayofanyika katika Dimba la Wembley huko London, Uingereza inawaleta pamoja Italia inayoangalia namna ya kuongeza taji jingine la EURO baada ya ya miaka 53 na England inayoangazia namna ya kuchukua taji lake la kwanza la michuano hiyo
Italia imeshapoteza fainali mbili tangu ishinde...
Wakati homa ya mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga ikiendelea kupanda huku zikiwa zimebaki saa chache, Mashabiki na Wachezaji wa timu hizo wameendelea kutambiana kuibuka na ushindi
Simba ambayo itakuwa mwenyeji, itaikaribisha Yanga katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania...
Mahakama ya Frankfurt imetangaza kuwa mning'inio (hangover) ni ugonjwa na ni kinyume na sheria Nchini humo kudai vyakula au virutubisho vinaweza kuponya ugonjwa
Kesi hiyo ilimuhusisha 'Mtengeneza Unga' anayedai unga wake unaondoa mning'inio kwa kuondoa kichefuche, maumivu ya kichwa na uchovu...
Jeshi la Polisi Wilaya ya Tunduru limepiga marufuku mkutano wa ndani wa ACT Wazalendo uliopaswa kuhutubiwa na Kiongozi Zitto Kabwe na Seif Sharif Hamad hadi pale Rais Magufuli atapomaliza ziara yake Mkoani Ruvuma. Rais Magufuli yupo Songea, zaidi ya KM 250 kutoka Tunduru.
Sent using Jamii...
Katika hali ya kuonesha kutokufurahishwa na kitendo cha Rais Magufuli kumpa zawadi ya Tsh. Milioni 10 Rubani Kapteni Peter Mapunda kwa ushujaa wake wa kuondosha ndege kilazima nchini Kenya wakati jumuiya ya Afrika Mashariki ilipovunjia nao waelezea kuhusu rubani wao
Mwaka 1977 Jumuiya hiyo...
A reporter from NBS television on Monday evening found himself caught up in a hot exchange with the country’s president, Museveni.
Joseph Sabiti who describes himself as a “journalist and patriot” rose to ask a question while Museveni addressed press after launching the anti-corruption unit at...
Mahakama Kuu kanda ya Mbeya imemuhukumu kwenda jela kifungo cha miaka 10 Askari wa Jeshi la Polisi G.4079 PC Juma Nestory (28) baada ya kupatikana na hatia ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa ofisa Mtendaji wa Mtaa wa Hasanga kata ya Uyole jijini Mbeya ambaye anadaiwa kuwa naye kwenye mahusiano...
Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu hatua ya kuzuia wanafunzi wanaopata mimba kurejea shule kuwa suala hilo halizihusu shule binafsi.
Ufafanuzi huo umetolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwenda kwa Chama cha Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi Tanzania (Tamongsco) ukiwataka kutofuata...
Wakazi wa maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam wanatakiwa kubomoa majengo yao waliyojenga kwenye hifadhi ya barabara kabla hawajaondolewa kwa nguvu.
Miongoni mwa maeneo maarufu yatakayobomolewa kwa kutekeleza agizo la Wakala wa barabara za mijini na vijijini (Tarura) ni Elements, Eaters Point...
Uingereza ya kubaliwa kujiondoa Umoja wa Ulaya
Rais wa EU, Donald Tusk amesema viongozi 27 wa Umoja huo waliokutana Mjini Brussels Ubelgiji wamekubali na kupitisha mpango wa Brexit
Amesema Wameidhinisha Makubaliano ya Uingereza kujitoa kwenye Umoja huo pamoja na tamko la Kisiasa la uhusiano wa...
The soldiers started fanning out in the cashew nut growing regions of southern Tanzania - a jolting sight for traders and, campaigners say, a watershed moment for a country once held up as a darling of development groups.
The government said the troops were there last week to make sure growers...
Daraja hilo limekatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Tabora
Inashauriwa Wasafiri wanaoelekea mkoa wa Dar es Salaam waende moja kwa moja hadi Tabora ili wapitie Itigi
Aidha, wanaoelekea Arusha waende mpaka Puge wapitie Nkinga hospitali kisha watokee Ziba au Nyandekwa na...
Chelsea legend Didier Drogba has confirmed his retirement from playing, ending "an amazing 20 years".
The Ivory Coast striker, 40, had two spells at Chelsea, scoring 164 goals in 381 games and winning four Premier Leagues and the 2012 Champions League.
He spent the last 18 months of his...
Thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani ambapo kuporomoka na kufikia kiwango cha chini zaidi katika miaka mitatu iliyopita
Dola moja kwa sasa ni wastani wa Tsh. 2,300 mara ya mwisho kwa kiwango hicho kufikiwa ilikuwa ni Julai 2015 ambapo Benki Kuu ya Tanzania(BoT) iliingilia...
Rais Magufuli leo Novemba 10, 2018 amekagua magari ya Jeshi, Kikosi cha Usafirishaji cha 95KJ
Magari hayo yanaweza kutumika kubebea Korosho katika mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) iwapo wanunuzi wa zao hilo hawatazinunua baada ya siku ya Jumatatu saa kumi jioni
=======
Balozi wa Umoja wa Mataifa anaye simamia Haki za Binadamu Michelle Bachelet Ijumaa amesema ameshtushwa na tamko la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwamba kuna kamati itakayo undwa kufuatilia na kuwakamata mashoga, na kuwahamasisha watu kuripoti wale wanaoshukiwa kuwa mashoga.
“Watu wajinsia moja...
Takriban watu 50 wameuawa baada ya trela ya kusafirisha mafuta kugongana na gari ndogo katika barabara kuu magharibi kwa Jamhuri ya Demokrsi ya Congo.
Ajali hiyo ilitokea karibu na mji wa Kisantu, kati ya mji mkuu Kinshasa na bandari ya Matadi.
Watu 100 walipata majeraha mabaya ya moto kwa...
Mkuu wa Wilaya ya Misungwi jijini Mwanza, Juma Sweda amemweka rumande Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Misasi, Deusedent Damas akituhumiwa kujihusisha na mapenzi shuleni.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Oktoba 5, 2018, Sweda amesema kutokana na ushirikiano mzuri uliopo kati yake, jeshi la...
Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 5.9 kipimo cha ritcha lilipiga jana Oktoba 06 umbali wa Kilometa 20 Kaskazini-Magharibi mwa bandari ya Port-de-Paix
Limeleta uharibifu mkubwa ikiwa ni pamoja na kuangusha majengo mengi zikiwemo hospitali na majengo mengine ya Serikali
Kamanda wa Polisi eneo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.