Search results

  1. F

    Hivi ni sawa mwanaume kumuomba mwanamke pesa?

    Hii imemtokea rafiki yangu mmoja alianzisha mahusiano na kijana mmoja baada ya kama miezi miwili kupita huyo kijana akaanza kuwa anamuomba huyo dada pesa na kumueleza shida zake mbalimbali ili amsaidie kifedha Hii imekaaje wadau. Vijana wa kiume mmekuwaje?
Back
Top Bottom