Habari
Wakuu nauliza kuhusu namna ya kupata kibali ( leseni) ya kutoa mikopo midogo midogo kwa mtaji wa milion tano.
Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa hvo nawakaribisha kwa ushauri wowte ukiweno na huo wa garama za leseni kwa wale wenye uzoefu.
Natanguliza shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.