Search results

  1. IKHOIKHOI

    Wataalamu, Kelvin Power na wenzake

    Naombeni msaada manake IDM katika computer yangu imekataa kata kata kufanya kazi baada ya kuwa ime-expire baada ya siku 30 za majaribio. Nimejaribu kufuata taratibu za kucrak lakini hakuna kitu, nimejaribu ku-uninstall na ku-install mara kibao lakini wapi, kila nikiweka inaniletea kaprompt...
  2. IKHOIKHOI

    St. Joseph Hosp.Soweto Moshi yaungua

    Wadau nimepata taarifa sasa hv kuwa hosp ya St. Joseph ya kanisa katoliki iliyopo moshi mtaa wa soweto imeungua. Naomba mwenye taarifa zaidi atujuze plse.
  3. IKHOIKHOI

    Hodiiii???

    Mimi mpya hapa, nawasalimuni wakongwe wa JF. Naomba nafasi tuendeleze mapambano kuikomboa nchi.
Back
Top Bottom