Search results

  1. New Nytemare

    Wizara ya Afya itoe muongozo unywaji wa 'energy drink'

    Ninaiomba Serikali kupitia wizara ya afya itoe muongozo kwenye matumizi ya vinywaji viitwavyo energy maana imefikia watu wanadhani ni soda wanakunjwa kila baada ya kula na kukata kiu au vichanganyio vya pombe kali. Mbaya zaidi vijijini kwenye sherehe wanawapa mpaka watoto wadogo kama juice...
  2. New Nytemare

    Ipi ni VPN nzuri

    Kama kichwa kinavojieleza ipi ni VPN nzuri niweze kutamba twitter
  3. New Nytemare

    Tunawakumbusha tu

    Tukumbushane tu watendaji na watu wa lumumba
  4. New Nytemare

    TTCL inahujumiwa? Ni wiki sasa eneo nililipo siwezi kuongeza salio kwa njia yoyote ile

    Rejea na kichwa cha habari hapo juu.. Mimi ni Mwananchi wa kawaida na mtumiaji wa mtandao wa TTCL. Nimezungumza haya kutokana na matatizo ndani mtandao yasiyokwisha kama sasa hivi karibia wiki nzima eneo nililopo sina uhakika na maeneo mengine vocha hazinunuliki iwe kwa selcom maxmalipo NMB...
  5. New Nytemare

    Hili ni dhehebu gani jamani wadau tujadili

    mi limenitisha sana mpaka kusisismka... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. New Nytemare

    Msaada samsung j5 mashmallow root

    wataalama msaada nimefanikiwa ku root samsung j500h mashmallow kwa kutumia pc..baada muda nilifanya factory reset nikiweka app zinazohitaji root kama ifont zinadai simu haiko rooted nikiweka app ya rootchek# inacheck root inaonesha simu haiko rooted.. shida inakuja nikitaka ku update by OTA...
  7. New Nytemare

    Hivi hii imekaaje(sio udhalilishaji kwa wanawake)

    ijumaa karim wana jamvi.. nimekuwa nikiona matangazo ya opera browser na opera newz app ambao ni kitu kimoja katika mitandao yanayohamasisha kui download lakini kwa asilimia 100 ya ADS zao zinalenga udhalilishaji wa kina MAMA na DADA zetu.. binafsi nimeona haijakaa poa..sijajua kisheria imekaaje...
  8. New Nytemare

    Jamaa kavuta bangi za wapi sijui...

  9. New Nytemare

    msaada samsung grand prime

    nina samsung nimeinunua china..kule ilikuwa ikifanya poa kabisa ila baada ya kufika hapa nchini nimeweka line zetu haisomi inasema insert sim card
  10. New Nytemare

    Msaada kuhusu VISA ya UK visit..

    Nimeomba UK visit visa miezi 6 nimekosa kwasababu mbali mbali moja wapo ni kuwa hawana uhakika kama nitarudi tena bongo pia hakuna genuine relationship Kati ya mimi na sponsor, nataka kuomba tena naomba ushauri wenu wana JF kwa watu wenye experience ya UK visit visa. maana nina rafiki yangu...
  11. New Nytemare

    Afariki siku ya nne baada ya harusi

    Imetokea huko mkoani Njombe bibi harusi afariki siku nne baada ya harusi yake, yani kafunga harusi Jumamosi kafariki Jumatano, dah very sad!
  12. New Nytemare

    Nauza Toyota WISH imetunzwa saana mil 8.3

    Wadau ninauza toyota wish iko vyema katika ubora wa upya..haijapata kash kash yeyote tokea inafika zaidi ya service tu.. Iko Njombe.. Ukifika nikuwasha na kuondoka tyre mpya rim sport.. NJOO PM TUFANYE BIASHARA AU PIGA 0765813691 WAHI
  13. New Nytemare

    Njombe Mji yaichapa Azam FC mbili kwa nunge

    katika mechi ya kirafiki ilochezwa na Njombe mji fc na azam fc..njombe mji imeinuka kidedea kwa kuichapa Azam 2 bila... Sent using Jamii Forums mobile app
  14. New Nytemare

    Matapeli hawa mpaka lini? TCRA mko wapi?

    Sent using Jamii Forums mobile app
  15. New Nytemare

    Bajaj boxer x cross 2016

    Wataalam wa pikipik..kuna pikpik boxer toleo jipya nauliza kama kuna mdau humu ndani kaitumia vp ubora wake..naitaman sana
  16. New Nytemare

    Ni kweli kunywa maziwa ni kinga ya magonjwa yatokananyo na vumbi?

    Wadau habari ya asubui, nauliza kwa wataalam wa afya kwamba maziwa ni tiba au kinga ya kweli %100 kutibu magonjwa ya tokanayo na vumbi kali.. Jamii mtaan inaamin kwamba ukitoka kwenye vumbi ukinywa MAZIWA umesha tibu...
  17. New Nytemare

    swift mpya DHH

    wadau gari inauzwa suzuki swift kwa nembo ya chevrolet mpya DHH inauzwa mil10 kamili maongezi yapo..anaitumia mwanamke iko mkoani njombe..
  18. New Nytemare

    Madereva wa Harrier mna tabia moja, kujiamini kupitiliza

    imenikuta mara kadhaa nikiwa safarini madereva wa hiz harrier second generation kujiamini wanapenda wawe mbele muda wote...hata mlimani wana overtake..
Back
Top Bottom