Search results

  1. Joan lewis

    Jinsi wakaazi wa Dunia wanavyotumikishwa na kutawaliwa bila kufahamu. (Hiii ni watu wote, Tajiri mpaka masikini mweupe mpaka mweusi, msomi asiyemsomi

    Kufuatia Hali na mambo yalivyo ni Dhahiri kwamba sasa tutakubaliana kwamba kuna watu wachache mno wanacontrol Dunia nzima kwenye aspects zote ikiwemo za maisha. Na lengo sio kupata pesa ila ni kuwafanya watu wasiwe huru bali wawe watumwa ili wasimfikirie Muumba wao. So wana vitendea kazi ama...
  2. Joan lewis

    Tujitahidi tunapokuwa na nafasi mbalimbali maisha yetu yaguse Watu

    Tujitahidi tunapokuwa na nafasi mbalimbali maisha yetu yaguse Watu as possible as it can take ili tusiwape watu kazi ya kutuelezea kinagaubaga ili kufahamisha waliobaki hai jinsi tulivyokuwa muhimu. Mtu anaweza kuwa na kanafasi kadogo akagusa watu na maisha yake kuliko mwenye Macheo makubwa...
  3. Joan lewis

    Tamisemi tunaomba angalau mwaka huu muwachukue Waliosoma Postgraduate Diploma Ualimu kwa Makubaliano

    Jaman hebu mwakahuu kwenye hizi muwakumbuke waliosoma stashahada ya uzamili. Wengine wamemalza Tangu mwaka 2014. UDSM kwanini mnawaacha? Hakuna mtu anatafuta special seat ya mshahara ila walisoma ili wapate nafasi ya kupractice passion zao za kufundisha. Baada ya kuchaguliwa Kozi nyingine...
  4. Joan lewis

    Inaonekana Watanzania wazembe ila jueni yuko wa kuwatetea siku zote

    Wasalaam Ndg. Watanzania wenzangu. Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja. Yaani imesikitisha kuona jinsi ambavyo "Wabunge" wamekuwa kitu kimoja kufunika hilo kombe linalozidi kufurisha. Kwa mujibu wa Mpina ufisadi, Ubadhirifu na Rushwa vimeleta hasara ya trilioni 30 kwa miaka miwili...
  5. Joan lewis

    Kwanini serikali (TAMISEMI) wakitoa ajira mfano zile za waalimu 9000 mwaka jana hawachukui PGDE?

    Nina kakangu amesema chuo UDSM mwaka 2017 Stashahada ya uzamili ya elimu kila akiomba tangu 2018 hapati wala hakuna hata mmoja wa degri hiyo alichukuliwa. Unajiuliza waliruhusu isomwe hapo UDSM kwa ajili gani? Kama practical alifanya na kukaguliwa na alipata A. Hii kweli inajeruhi. Kama...
  6. Joan lewis

    Natafuta kazi wakuu

    Mimi ni kijana mwenye miaka 30 nimesomea shahada ya sanaa katika utamaduni na utalii. Inahusisha pia Hotels, Tour companies, Museums Pia nina Stashahada ya uzamili(Postgraduate diploma) katika Elimu toka UDSM. Nina leseni na cheti cha udereva wa gari za kawaida. Ninafanya vyema upande wa...
Back
Top Bottom