Habarini wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,hizo aina mbili tajwa hapo juu, ni gari ambazo huwa naziona barabarani na nimetokea kuzipenda Kwa muonekano wa nje.
Kwasasa natumia Toyota Premio ambayo kiukweli naifurahia kuanzia consumption ya mafuta hadi issue ya vifaa vyake viko cheap...
Habarini wakuu!
Wakuu naombeni ushauri wenu juu ya hili linalonikuta ndugu yenu. Najua kutakuwa na kejeli na dhihaka lakini yote nitashukuru. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ambae nimefunga ndoa na ndoa ndiyo kwanza ina miezi sita.
Tatizo langu liko kwenye upande wa nguvu za kiume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.