Nilinunua piki piki kwajili ya matumizi binafsi kwenye shuguli zangu za kila siku.
Kwa sasa nimepata usafri mwingine kwajili ya shuguli zangu.
Na mimi ndio mwenyewe piki piki hii na hakuna dalali.iko kwenye hari nzuri sana
Bei laki 9 cash
Karibuni hii piki piki iko DAR ES...
Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na mtanzania mwenzio.
Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako...
Habari za kupambana n majukumu ya siku!!!
Mm Kama kijana wa kitanzania mwenye afya timamu.Kama mfanyabiashala wa kati ambae riziki yangu c haba kwa kweli.
Nimekaa na kutafakali sana mpaka sasa kuhusu bznesi zangu nashukuru mungu zinaenda vzr.
KUBWA HASA KICHWANI KWANGU kwa sasa
Nikuwekeza...
Kuna viwanja vinauzwa maeneo ya kigamboni vinatizamana n AVIC TOWN
umbali kutoka city center ni 26 KM.na kutoka njia kuu y kimbiji kwenda kwenye viwanja ni 3 KM TU.Vipo vilivyo pimwa vitatu tu
Square meters 400
Square meters 500
Square meters 600
Kila square meters 1 = 10000
Kipo pia kimoja cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.