Search results

  1. pmwasyoke

    Eti jirani zetu Rwanda wamo katika nchi 5 zinazoongoza kwa Kukosa furaha

    The World Hapinness Report imeitangaza Finland kama nchi inayoongoza kwa watu wake kuwa na furaha mwaka huu. Baadhi ya vigezo walivyotumia ni huduma za kijamii, uhuru binafsi, GDP na kiwango cha rushwa. Kwa mujibu wao nchi tano zinazoongoza kwa kukosa furaha ni Afghanistan, Lesotho, Botswana...
  2. pmwasyoke

    TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

    Aliyewahi kuwa Vice Chancellor wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania Prof T Mbwette alifariki dunia jana jioni katika hospitali ya Aghakan. Prof Mbwette alikuwa mwanataaluma mahiri katika fani ya uhandisi. Kabla ya kuwa VC Open University alifundisha kwa miaka mingi UDSM. Wengine mtakumbuka viti...
  3. pmwasyoke

    Wastaafu - Kuongeza ubora wa maisha

    Naomba wastaafu na wastaafu watarajiwa tuutumie uzi huu kushauriana mambo kadhaa yahusuyo masilahi ya wazee kama: (a) Jinsi ya kupitisha muda - maana masaa 24 kwa siku ni mengi. Tatizo hili ni hasa kwa wale ambao shughuli walizojiandalia kujikimu zinajiendesha bila kuhitaji muda wao mwingi; (b)...
  4. pmwasyoke

    Malawi unhappy with TZ official

    The Sunday Times, Malawi. Monday, 04 March 2013 06:58 Gabriel Kamlomo MALAWI has expressed its displeasure that the executive secretary of the Forum for Former Heads of State, which is currently mediating the Lake Malawi border dispute with Tanzania, is a Tanzanian national. Foreign...
  5. pmwasyoke

    Mambo yawa magumu kwa Rais Joyce Banda wa Malawi

    Hivi sasa kuna mgomo wa wafanyakazi karibu wote wa serikali wa ngazi za kati na chini nchini Malawi. Wanaoendelea na kazi, ni madaktari na manesi tu ambao pia wanasema watajiunga na mgomo huo baada ya siku kadhaa iwapo madai ya wafanyakazi hayatekelezwi. Viwanja vya ndege vimefungwa, mipaka...
  6. pmwasyoke

    Pole PakaJimmy

    PakaJimmy kafiwa na baba mkwe na hivi sasa yuko safarini kuelekea Mbeya msibani. Kwa udau wake mkubwa hapa JF nimeona niwajulishe. Mungu ailaze pema roho ya baba mkwe.
  7. pmwasyoke

    Message za kijinga kutoka Airtel

    Jamani kutoka Jana hadi leo nimekwishapata message zaidi ya 20 za kijinga kutoka Airtel, na bado zinaendelea kuingia: mara kuhusiana na English premier league, mara call now for free to get todays offer ...., nk. Kibaya zaidi ni kwamba meseji zenyewe zinajirudiarudia. Inachosha ile mbaya...
  8. pmwasyoke

    Gesi nyingi tumboni, na kuipumua bila udhibiti

    Kuna kijana - wa umri wa A level hivi - ana tatizo la kiafya linalomkera sana na kumfanya hata kusoma darasani imnyanyase sana. Gesi nyingi hutengenezeka tumboni na mbaya zaidi inajitokea inavyotaka makalioni bila control. Wadau naomba yeyote mwenye ushauri kuhusu kushughulikia hali hii...
  9. pmwasyoke

    Factory Taster

    In an alcohol factory the regular taster died and the director started looking for a new one to hire. A drunkard with ragged, dirty look came to apply for the position. The director of the factory wondered how to send him away. They tested him. They gave him a glass with a drink. He tried it...
  10. pmwasyoke

    Gongolamboto: Fidia sh milioni 8.6 kwa aliyekufa!

    Wakuu, Kwa fidia ndogo hivi sio ajabu kwa serikali kutokuwa makini na usalama wa raia wake!
  11. pmwasyoke

    Prof Kamuzora afariki

    TBC wametangaza sasa hivi kwamba Prof Kamuzora wa chuo kikuu cha Dar es Salaam amefariki. RIP
  12. pmwasyoke

    Mama yake Prof Mbwette afariki

    Nafahamu wako wadau kadhaa wanaomfahamu Prof Mbwette, Mkuu wa chuo kikuu huria. Nasikitika kuwaarifu kuwa mama yake mzazi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Agha Khan. Msiba upo kwa Prof Mbwette Kimara. Mungu aiweke pema peponi roho yake mama
  13. pmwasyoke

    Mgombea moja wa upinzani Uganda

    Vyama vya vyetu vya upinzani vingejifunza kutoka Uganda ambako vyama vyote vya upinzani vimechuana na kumpata mgombea wao wa pamoja wa nafasi ya urais. Hivyo mgombea wa chama tawala anapambana na mgombea mmoja anayeungwa na vyama vyote vya upinzani. Hii nimeipata kwenya taarifa ITV. Au mnaonaje...
  14. pmwasyoke

    Jee muda ni mali kwetu watanzania?

    Mwenzenu ninakwazwa sana na muda wa kuanza makusanyiko/shughuli mbalimbali hapa kwetu: Harusi/send off nyingi nilizohudhuria kadi za mialiko zinaonyesha kuanza tafrija saa 12.30 au saa 1 jioni, lakini maharusi/wahusika wataingia ukumbini saa 2.30 au saa 3 usiku. Vikao vya harusi au maendeleo...
Back
Top Bottom