Heshima zenu wakuu, naombeni mnisaidie kibarua chochote halali, nimetafuta kazi sujafanikiwa miaka minne sasa, elimu yangu ni ya chuo kikuu fani ya mass communication, ila sichagui ajira siangalii mshahara, atakae kuwa tayari kunisaidia no yangu ni 0786312197.
Asanteni
Heshima zenu wakuu,nisaidieni tatizo langu imekuwa kama ni kawaida kila nikisha ovulate siku tano mbele yani wiki moja kabla ya periods napata maumivu upande wa kushoto sijui ni fallopian tubu au ovary kila Mara ni kushoto nimezunguka hospital sina tatizo,nimetumia miti Shamba sijaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.