Search results

  1. shayookoko

    Barabara ya Mabatini Kijitonyama, Dar

    Katika moja ya barabara inayonipa hasira ni hii. Ni miaka km 3 imepita toka itengenezwe, na ilitengenezwa katika upana mzuri, japo haikuwa imara saana ila ilikuwa inaitaji marekebisho baadhi ya sehemu. Cha ajabu ilibomolewa yote kwa hasira kali, na kuachwa na mashimo ya kutisha. Sijui...
  2. shayookoko

    Matofali barabarani ni chanzo kikubwa cha ajali

    Hili jambo linaudhi sana, sijui ni ukandarasi wa wapi huu wa kuweka mawe makubwa barabarani km majambazi, kuna hii barabara ya hovyohovyo ya kutokea mwenge hadi Morocco, Kuna watu wanapata ajali za kutisha kimya kimya, hasa usiku, watu wanaulemavu wa kudumu kutokana na hii mitofali...
  3. shayookoko

    TBC TV imekuaje kwenye Dstv?

    Tokea jana 4 usuku namuona Mh Magufuli anahutubia tu na sauti hamna. Leo tena hali ni hiyo hiyo, hamnakinachoendelea zaidi ya hotuba na sauti hamna.
  4. shayookoko

    Konyagi badilikeni kidogo

    Mimi ni mnywaji kidogo wa kinyagi, hasa weekend, tatizo ni kufungua kinywaji hiki, mara upige kwa chini, mara uinamishe juu chini, yaani ni shida tu. Sasa uwe umekosea kidogo, ni lazima utafute kisu ukate sill.
Back
Top Bottom