Search results

  1. H

    Katiba ya Tanganyika iko wap?

    Serikali ya zanzibar wana katiba,serikal ya Muungano nayo ina katiba,yetu watanganyika iko wap? Je muungano ukivunjika,nchi yet itaongozwa na nn? Maana katiba ya muungano itakuwa haina kazi,anayejua Katiba ya Tanganyika ilipo anisaidie.
  2. H

    Nawashukuru jf

    Kutokana na kupata habari kwa wakati muafaka.nami nimevutiwa kuwa mwanachama wa jf.nawashukuru jf.
Back
Top Bottom