Search results

  1. Pampula jr

    tecno h6

    nauza tecno h6 imetumika miezi minne haina tatizo lolote bei ni laki MOJA nipo mwanza
  2. Pampula jr

    Tatizo la 'privacy password' kwenye simu

    Naomba msaada jamani kwa anaejua, nilimwazima MTU SIMU YANGU akaweka laini yake amenirudishia naweka laini YANGU inaandika enter privacy password namuuliza hata yeye anasema hajui! Naomba msaada.
  3. Pampula jr

    Betri ya Motorola

    habari za jioni waungwana natafuta betri ya kununua ya Motorola droid nipo mwanza
  4. Pampula jr

    wanajeshi kujiandikisha kuchukua vitambulisho vya kupigia kura

    wakuu naomba kueleweshwa sababu jana wakati najiandikisha kuchukua kadi ya kupigia kura walikua wanakuja wanajeshi makundi makundi wanajiandikisha je ni sahihi na je wanaruhusiwa kupiga kura?
  5. Pampula jr

    mtoto kuchelewA kuongea

    jaman naombeni msaada nina mtoto ana miaka 4 na nusu lakini haongei yaani ni kama ana matatizo ya ubongo na inapoleta utata anajisaidia haja kubwA kwenye nguo bila taarifa sasa kwa anaeelewA namna ya kumweka katika hali ya usawA anisaidie
  6. Pampula jr

    Naomba Msaada kuhusu UC browser

    wakuu naombeni msaada kuhusu uc browser maana nimei donload zaidi ya mara tatu ila inagoma tu tatizo kila napoingia inaniandikia neno hili#ooops link appears expired sasa sijui tatizo ni nini
  7. Pampula jr

    Yupo wapi Lady Mariam aliyeimba Tinda tine?

    Naomba kuuliza, Hivi yupo wapi siku hizi huyu mwanamziki Lady Mariam wa Uganda aliyetamba na kibao cha Tindatine, simsikii kabisa?
  8. Pampula jr

    nauza simu

    nauza samsung galaxy mini 5570 used bei 90000
  9. Pampula jr

    Natafuta Simu

    Habari zenu natafuta simu ya kununua yenye android aina yoyote bajeti yangu 80000 siongezi hata mia.
  10. Pampula jr

    msaada wakuu

    simu yangu ni blackberry 9810 tatizo lake ni kuingiza moto wakati wa kuichaji unapochomeka chaji inaonyesha inaingiza moto lakini haijai na baadae inanyonya chaji iliokuwemo kwenye simu betri nikiichaji kwenye kobe inaingiza moto na ninaitumia mpaka masaa kumi na tatu. nimepeleka kwa mafundi...
  11. Pampula jr

    Msaada

    Natumia blackberry 9810 naomba msaada namna ya ku download software google play maana kila nikijaribu nashindwa. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  12. Pampula jr

    msaada

    Natumia simu aina ya blackberry 9810 tatizo ni video youtube hazichezi wala online tv vyote vimegoma mwenye kujua namna ya kuset anisaidie
  13. Pampula jr

    msaada waungwana

    Natumia blackberry 9810 ina memory ya gb 8 ndani lakini inaonyesha imejaa nahitaji msaada namna ya kufuta
  14. Pampula jr

    nauza simu

    habari zenu wakuu nauza simu yangu nokia e 63 ni used nimeitumia kama miezi 9 bei nauza laki moja na kumi elfu nipo mwanza
  15. Pampula jr

    msaada jamani

    habari za jioni wakuu naomba msaada namna ya kufungua akaunti skype maana nimejaribu ila inashindikana na ninatumia nokia e 63
  16. Pampula jr

    msaada

    habari zenu wakuu jamani naomba msaada wa ku download viber kwenye nokia e63 maana nimejaribu nimeshindwa
  17. Pampula jr

    Msaada: Jinsi ya kupata mkopo kwa dhamana ya nyumba

    jamani ndugu zangu naomba msaada namna ya kupata mkopo kwa dhamana ya nyumba ambayo haina hati yaani skwata
  18. Pampula jr

    samsung chat 527

    msaada jamani namna ya ku download whats app kwenye samsung 5270
  19. Pampula jr

    Hodi hodi wana jf

    Hello wana jf great thinker
Back
Top Bottom