Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nilivyoangalia mchezo baina ya Azam na Yanga kwenye fainali za CRDB, ni wazi kuwa bila ya kuwa golikipa Mohammed Mustafa, Azam ingekuwa na wakati mgumu sana. Kwa vile Azam inaingia kwenye...
2 Reactions
5 Replies
74 Views
Daktari nguli toka Zambia ametoa tamko kupitia Facebook ambalo wapenda punyeto huenda wakalifurahia sana. Binafsi sina facts za kisayansi kumpinga ila kulingana na ongezeko la wauza dawa za nguvu...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
TFF tuliwaasa kulea madhambi na kuacha weledi na kuingiza siasa kwenye football hamkutusikia, kijana alikumbia mkataba akahongwa, akashindwa kesi TFF mkaingiza siasa labda na woga mkataba...
8 Reactions
24 Replies
605 Views
Pendekezo la Utafutaji wa Mwekezaji kwa Mradi wa Uzalishaji na Uuzaji wa Gesi ya Kupikia hapa Dar es Salaam, Tanzania Muhtasari: Tunayo furaha kutoa pendekezo letu la kutafuta mwekezaji au tajiri...
0 Reactions
3 Replies
351 Views
Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe. Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu...
20 Reactions
72 Replies
1K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
41M Views
Mwenye kufahamu naomba anifahamishe hivi kwanini wanasheria mnaitana wakili msomi 🤔 kwani kuna mawakili sio wasomi ?
19 Reactions
158 Replies
2K Views
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu. Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu. Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba...
12 Reactions
73 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Napowaambia kuwa David Kafulila ni Chuma nakuwa namaanisha ni CHuma kwelikweli na Mzalendo wa dhati Wa Taifa letu,ambaye huwa hayumbi wala kuyumbishwa wala kutetereshwa...
12 Reactions
46 Replies
390 Views
Siku ya Baiskeli Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Juni. Siku hii ilianzishwa na Umoja wa Mataifa ili kutambua na kuhamasisha matumizi ya baiskeli kama njia ya usafiri, burudani, na...
1 Reactions
16 Replies
487 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,881
Posts
49,788,154
Back
Top Bottom