Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu wajumbe, Naombeni ushauri wa namna nzuri (economically optimal) ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu. Nalenga kupangisha wanafunzi wa chuo/shule, mabachelors, na watu wanaoanza...
1 Reactions
12 Replies
193 Views
2/6/2024 Bei ya nyanya kwa tenga la debe tatu ni bei gani mtaani/shambani kwako. Nilipo mimi Kilimanjaro Moshi mtaa wa chekereni ni 25000
0 Reactions
2 Replies
57 Views
Habari wakuu Naitwa Shemasi Pascal Weston. Kutoka St. Joseph Dar es salaam Ni muandishi wa vitabu mbalimbali vya Sheria, Haki za binaadamu, motivation pamoja na kufanya research mbalimbali...
6 Reactions
67 Replies
694 Views
Jaribu kufanyia Utafiti utaelewa Hata Nchi ya jirani ya Zanzibar ni mfano mzuri Rais akiwa mwislamu basi Vijana wao huwa na fursa ya kuingia madarakani tofauti na Wagalatia Nadhani huu ni...
12 Reactions
38 Replies
804 Views
Hatimae ile siku tuliyokuwa tukiisubiria imefika, ni bonge la mechi kati ya Azam na Yanga katika fainali ya kombe la shirikisho la CRDB Mechi hii itachezwa majira ya saa 2:15 usiku pale kwenye...
22 Reactions
1K Replies
26K Views
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana. Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye...
20 Reactions
336 Replies
5K Views
Tunakushukuru kwa kumpa kadi moja ya njano Dickson job baada ya kufanya rafu Kali mbili kwa kipre na Fei,😀 Tunakushukuru kwa kumuacha aucho baaf rafu mbili pia na Ibrahim baka ambaye mwishowe...
1 Reactions
15 Replies
138 Views
Tumeshuhudia msimu uliokuwa na wachezaji wasio na ari kabisa ya mafanikio.Wachezaji tunaowajua kwa uwezo wao waliweza kutushangaza kila wabapoingia uwanjani kwani ilikuwa nadra kutoruhusu bao...
0 Reactions
4 Replies
12 Views
Alie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match. Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar. Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia...
3 Reactions
9 Replies
117 Views
Wakuu, Inawezekana wapo wapiga penati bora sana kabla ya hawa ninaoenda kuwataja lakini nchi hii hakuna wapiga penati bora kuliko hawa nikiwapanga kwa kizazi (generation). 1) Hussein Aman Masha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,632
Posts
49,782,166
Back
Top Bottom