Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ushawahi sikia watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda. Ni lazima ukubali...
4 Reactions
22 Replies
316 Views
Waziri Ndumbaro hafai popote huku kwenye michezo ndo hafai hafai kabisa analeta migogoro na anazidi kuharibu... Juzi watanzania waliona kilichotokea kwenye boxing....Ugomvi wa kibishara WA...
10 Reactions
14 Replies
176 Views
Morning members. Kuna hali nisiyoielewa siku za hivi karibuni kwa wasichana wengi kula nauli halafu hawaendi. Malalamiko ni mengi watuma nauli wanalalamika nauli zao kuliwa bila kuona midoli...
4 Reactions
15 Replies
126 Views
Achila mbali IDs au avatar yake... Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain...
15 Reactions
420 Replies
5K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu...
23 Reactions
132 Replies
3K Views
Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi. Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini...
22 Reactions
102 Replies
2K Views
Muda mchache ujao, saa 4:00 Dortumd watamenyana na Real Madrid katika dimba la Wembley pale London. Ni fainal ya Uefa Champions League, karata yako unampa nani? Twende kazi…
6 Reactions
139 Replies
3K Views
MAKAMU wa Rais, Dk.Philip Mpango amezindua chapisho la utafiti wa hali ya mazingira ya Pwani na Bahari Tanzania Bara huku akiagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...
0 Reactions
1 Replies
16 Views
[emoji673]NIMEWAJAZA MAKOLO KWA BOB MARLEY WAKAJAA [emoji2788]“Milioni 350+ Gari la Milioni 70 Kwa Goli Moja .. Yaani Kamoko kwa Mwaka Mzima Bob Marley Kalamba Mkataba wa Maajabu, ”Huu Msimu...
3 Reactions
8 Replies
75 Views
Habari wanajamvi Naombeni msaada kuna mdada wa kazi nlikua naishi nae hapa nyumbani ametoroka usiku,na kaondoka na begi la ndugu yangu Katokea ifakara kyelekea morogoro mjini
1 Reactions
22 Replies
134 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,395
Posts
49,773,874
Back
Top Bottom