Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA...
4 Reactions
28 Replies
122 Views
1: Sos B - Kukuru kakara. sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania. 2: Picko - Kikongwe (RIP) 3: JI -Kidato kimoja...
5 Reactions
72 Replies
899 Views
Mimi ni mkatoliki Nimetazama kazi anazofanya Mwamposa nimeona Ni kazi kubwa Sana zaidi ya zile walizofanya Petro na Paulo! Hata Yesu mwenyewe almost afunikwe, but anabebwa na muujiza wa kufufua...
3 Reactions
25 Replies
227 Views
Habari, Nauza simu samsung galaxy A21s. RAM :4GB Storage: 64GB Battery: 5000mAh Location: Dar Bei: 200k Tzs Iko vizuri unakaribishwa kuja kuikagua for your convinience. 0759007696 (call/WhatsApp)
0 Reactions
2 Replies
65 Views
Inasikitisha mtoto abakwa na jirani, bibi yake ashindwa kesi Mahakamani, amlilia Rc Paul Makonda.
1 Reactions
12 Replies
218 Views
Tulionya Mapema sana kwamba Moto wa Chadema ukishawashwa hakuna wa kuuzima, na wala hatutakuwa na Mswalie Mtume, Elimu itatolewa, Makombora yatavurumishwa na Spana zotapigwa bila Huruma yoyote...
5 Reactions
27 Replies
553 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
43 Reactions
52K Replies
3M Views
Mwanadada mrembo, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga. Mwanadada huyo na kigogo wapo katika penzi la...
42 Reactions
281 Replies
6K Views
Kwema wakuu, Kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafiri miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo peke yangu...
13 Reactions
54 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,425
Posts
49,774,859
Back
Top Bottom