Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi! Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi...
20 Reactions
95 Replies
2K Views
Pambano la Mwakinyo na bondia kutoka Ghana limeshindwa kufanyika kwa kuwa Rais wa WBO, Samir Captan hakuwepo uwanjani kuleta mkanda. Maelezo ya Hassan Mwakinyo ni kuwa jamaa hajalipwa hela za...
2 Reactions
20 Replies
652 Views
Kulitokea Wizi wakati wa Majira ya Barafu, ila kila. Mmoja alisema hakutoka Nyumbani siku ya tukio. Ukiangalia picha hii kuna mmoja anadanganya. Unadhani ni nani huyo anaedanganya kati ya hawa wanne?
2 Reactions
28 Replies
294 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Tunawasaidia Wajasiriamali Kufikia Mafanikio!🚀 Je, unataka kukuza biashara yako kwa bidhaa bora kutoka China? 🌏 Wakati ndio huu! BlueSky Air Cargo tunakuwezesha kusafirisha mizigo yako kwa...
0 Reactions
1 Replies
27 Views
Tusijidanganye. CCM hawana nia ya kuona Tanzania inapata Katiba mpya inayotoa fursa bora katika utawala wa sheria nchini na ushindani sawa wa vyama vya siasa. Hilo halitakuja kutokea hata siku...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu...
43 Reactions
118 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa la sports. Nimejiuliza hapa sijataka kuumiza kichwa changu kutafta huko kwenye websites ya TFF na platforms zingine maana naweza kutana na majibu ya ajabu ajuae kua karia...
1 Reactions
10 Replies
169 Views
Mradi wa Reli wa Baltica wenye thamani ya dola bilioni 4 unalenga kuunganisha miji mikuu ya Estonia, Latvia, Lithuania na Warsaw, Poland na ni hatua ya kamili na ya kiishara ya kuzileta nchi hizo...
0 Reactions
1 Replies
100 Views
Nauliza Tu maana kumekuwa na maneno maneno Mengi sana hasa Kwenye hizi PhD za darasani na zile za Heshima Wewe graduate hiyo degree ni Yako au Umebeba kichwani kichip Cha Chuo husika? Nimekaa...
3 Reactions
14 Replies
177 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,199
Posts
49,768,010
Back
Top Bottom