Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Karibu kufatilia muendelezo wa wiki ya pili ya Mjadala wa Wazi kuhusu Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania, ulioandaliwa na Chama cha Wanasheria Tanzania Bara (TLS) jijini Arusha. Kwa ambao...
4 Reactions
4 Replies
80 Views
Wakuu habari, Chama cha Umokhonto We Sizwe (MK) chini ya kiongozi wake na aliye kuwa raisi wa zamani Jacob Zuma wamejizolea asilimia 13 ya wabunge wote mpaka sasa wamesha hesabu 80% ya wilaya...
4 Reactions
74 Replies
2K Views
Sioni media za kibongo zikiripoti kiviile yaani unaweza kudhani hakuna uchaguzi mkuu kwa hawa jamaa zetu
2 Reactions
10 Replies
20 Views
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa “alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha...
17 Reactions
676 Replies
114K Views
Hii ndio habari iliyoletolwa leo na Shirika la atomic duniani AIEA. Nuclear ndio silaha ya maangamizi bora kuliko silaha zote zilizowahi kutokea duniani mpaka sasa. Kwa minajili hiyo kwa sasa...
7 Reactions
41 Replies
2K Views
Kabla ya kuendelea, turejelee kauli aliyoitoa Colonel Lionel Dyck, mkurugenzi wa jeshi binafsi la DAG ambaye mkataba wake wa kutoa msaada wa anga pale Msumbiji ulitamatika tarehe 6, April 2021...
41 Reactions
147 Replies
4K Views
Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya kusini mapema leo, ntaingusia Korea kusini kidogo leo. Nchi ya Korea kusini ilianzishwa mwaka 918, wakati wa mgawanyiko wa maeneo ya koo tatu zilizoitwa...
2 Reactions
12 Replies
328 Views
Wanakumbi. BREAKING: 🇺🇸🇮🇱 Biden: "Baada ya diplomasia ya kina kufanywa na timu yangu, na mikutano na wanadiplomasia wa kigeni, Israel imetoa pendekezo jipya." Ramani ya njia ya usitishaji...
1 Reactions
30 Replies
570 Views
Kuna wakati unaweza kukuta usingizi umekata ghafla hlf bado ni katikati ya usiku mwingi. Muda huo ni mtihani maana unaweza usijue ufanye shughuli gani maana bado ni usiku mkuu. Hapo kuna...
5 Reactions
13 Replies
221 Views
Msipokua Makini Kwenye Political econommy ya Nchi yetu hapa unaweza kujikuta kikatengezwa kikundi cha Watu ndio kinakula KODI ya Nchi hii, kikatengenezwa kikundi cha Watu ambacho ndio kina Bagaza...
1 Reactions
4 Replies
128 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,178
Posts
49,767,385
Back
Top Bottom