Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama kuna eneo moja ambalo wazee wetu wa zamani walipotoka ni hii dhana ya kumrithisha mtoto tunguli kwa nguvu na bila ridhaa yake. Wenzetu waliwarithisha watoto wao elimu ujuzi na maarifa vyenye...
5 Reactions
45 Replies
12K Views
Rais Samia amekiri kusikia kelele na matusi ya watanzania juu ya sera zake na uongozi wake. Lakini amesema ameamua kujifanya kuwa kama "chura kiziwi" mpaka dhamira yake na lengo lake la...
30 Reactions
134 Replies
4K Views
Kisa hiki ni cha kweli kilichotokea katika nchi moja ya afrika mashariki katika muda tajwa hapo juu. Fwatana nami.
1 Reactions
9 Replies
37 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views
Kila Mwanajeshi ninayekutana nae wa Uganda ( hasa Maafisa ) na Wengi wao walioko katika Kikosi cha Ulinzi cha Rais Museveni na Wakubwa Wao walikoko Makao Makuu yao ya Mbuya na wale walioko katika...
4 Reactions
9 Replies
84 Views
Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba. Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo...
36 Reactions
80 Replies
2K Views
Vijana wengi wa kitanzania wasomi na wasio wasomi wengi wao wamekuwa wakilalamika aina ya maisha ya sasa yalivyo magumu kwako. je sababu ni serikali kutowawekea mazingira wezeshi au ni kubweteka...
5 Reactions
25 Replies
315 Views
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo...
6 Reactions
89 Replies
715 Views
Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 itasomwa kesho tarehe 13 Juni, 2024 Bungeni Jijini Dodoma.
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wakuu natafuta chat gpt ambayo kwene iphone ni free? Hii ninayoijua ni ya kulipia ila ni free kwene browser ZINGINEZO...
0 Reactions
11 Replies
108 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,828
Posts
49,867,079
Back
Top Bottom