Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Achila mbali IDs au avatar yake... Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain...
14 Reactions
313 Replies
3K Views
Wakuu habari, Chama cha Umokhonto We Sizwe (MK) chini ya kiongozi wake na aliye kuwa raisi wa zamani Jacob Zuma wamejizolea asilimia 13 ya wabunge wote mpaka sasa wamesha hesabu 80% ya wilaya...
2 Reactions
48 Replies
1K Views
Sasa mambo ni njenje,hakuna Siri Tena. Mashoga wa Ukraine wapanga kufanya gwaride mwezi juni 2024 . Serikali ya kiev yabariki Tena jambo hilo kama ilivyobariki miaka ya nyuma. Amini usiamnini...
1 Reactions
3 Replies
241 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
Wakuu, Uzi huu ni kwa ajili ya kutaja miji midogomidogo ndani ya nchi yetu ambayo ina vibe kubwa kama miji mikubwa na ina fursa za kibiashara lakini haivumi wala kujulikana sana na watu. Mimi...
12 Reactions
61 Replies
1K Views
KIWANJA KINAUZWA BINAFSI LOC: KIBAHA LOLIONDO PANGANI AREA UKUBWA: ~ Heka 1 PRICE : Milioni 25 maongezi kidogo yapo UMILIKI: Mkataba wa mauziano wa...
0 Reactions
1 Replies
21 Views
Nauza laptop HP laptop 17 Processor: 11th gen,Intel tm 1.5 1135. Memory: Ram 16 GB Hard drive: 476 GB Location: Dar es salaam,ilala. Contact: 0756523615 Price: 650,000 tsh.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu sana na wana uchungu mkubwa Sana na Maisha ya...
14 Reactions
183 Replies
1K Views
Kiukweli tunafarijika sana kuona sisi waajiriwa wa serikali mama akitukumbuka. Hatimaye tunaenda kupanda daraja kwa mara nyingine baada ya kupanda 2021. Kongole Mama yetu, tunakupenda sana...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Baraza la mitihani la Taifa(NECTA) limefanya mabadiliko kwenye mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi kwa kuondoa machaguo ya majibu kwenye somo la hisabati kuanzia mitihani ya mwaka huu. Pia...
1 Reactions
8 Replies
119 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,165
Posts
49,766,808
Back
Top Bottom