Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

DEMOKRASIA: Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa amesema ili kupata Viongozi wanaoweza kukabiliana na CCM, chama hicho kinapaswa kutumia njia ya Midahalo ya Wazi kupima uwezo wa...
1 Reactions
9 Replies
58 Views
India wanapiga sana pesa kwa ku export kinyesi cha ng'ombe. Jamaa wanahitaji kilimo kikue kwa kasi huko na ardhi yao sio rutuba so wanahitaji mbolea ya kinyesi cha ng'ombe kwa wingi.
0 Reactions
1 Replies
2 Views
https://www.youtube.com/live/-6K3ZpUpoB8 Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua) Ametangaza kukata...
16 Reactions
136 Replies
3K Views
Habari za weekend ndugu zangu, Kuna muda kwenye Maisha unahitaji mtu sahihi wa Ku share naye upendo na mapenzi yako, mtu ambaye atakudekea, utamdekeza, utampenda na kumuheshimu, ujisikie furaha...
4 Reactions
15 Replies
199 Views
DAR ES SALAAM MWIGIZAJI nyota wa kike, Elizabeth Michael ‘Lulu’ sasa atatumikia kifungo cha nje katika kesi yake ya kukuua bila kukusudia baada ya kubadilishiwa kifungo. Novemba 13, mwaka 2012...
5 Reactions
93 Replies
2K Views
Dua la kuku halimpati mwewe,ndivyo unaweza izungimzia baada ya kuangumia kwenye Kombe la shirikisho ambako nako itakutana na Vigogo walishindwa kufuzu Club Bingwa Africa. Simba iniandae na Wydad...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
Habari zenu. Maisha ni yamenizonga sana nataka kuanza kunywa pombe angalau nipoteze kuwaza sana. Ni kinywaji gani hakina alcohol kubwa lakini kinatuliza mawazo? Nawaza sana maisha mpaka nakonda...
1 Reactions
20 Replies
75 Views
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli...
3 Reactions
155 Replies
3K Views
VACANCIES AVAILABLE Hotel Location Dar es Salaam, City Center [Posta] 1. HOTEL MANAGER 2. HOTEL SUPERVISOR 3. HOTEL MARKETING MANAGER 4. HOTEL RECEPTIONIST (3 Posts) 5. HOTEL CHEF (3 Posts)...
4 Reactions
2 Replies
308 Views
Natafuta Mtaalamu wa Kurejesha Mahusiano. Malipo ni baada ya kazi.
8 Reactions
47 Replies
355 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,810
Posts
49,786,772
Back
Top Bottom