Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

DAR ES SALAAM MWIGIZAJI nyota wa kike, Elizabeth Michael ‘Lulu’ sasa atatumikia kifungo cha nje katika kesi yake ya kukuua bila kukusudia baada ya kubadilishiwa kifungo. Novemba 13, mwaka 2012...
2 Reactions
59 Replies
1K Views
Kule X jamaa tayari kafuta taarifa zote za CHADEMA kabakiza hizi. Nahisi tatizo lako ni kumuunga mkono Tundu Lissu ndio sababu ukaletewa bilionea akung'oe. Wewe ni mtoto wa Kimasikini hizo...
4 Reactions
48 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/live/-6K3ZpUpoB8 Akiongea na Waandishi wa Habari leo, Peter Msigwa amesema kwamba Ushindi wa Sugu ulijaa makando kando na Mchezo Mchafu (Hakufafanua) Ametangaza kukata...
14 Reactions
103 Replies
2K Views
Natafuta mtaalamu kutoka Tanga kwa msisi...! Mtaalamu wa uhakika malipo ni baada ya kazi
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakati 30% ya vituo vimeshatangaza Matokeo ANC wanaongoza kwa 43% Ili iunde serikali ANC wanatakiwa kupata 50% ya Kura lakini wachambuzi wa siasa wanasema inawezekana wasipate na hivyo...
6 Reactions
41 Replies
1K Views
Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo. Mzee anasema hivi wanaume wameisha...
23 Reactions
153 Replies
3K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Lilikuwa ni suala la mda tu sasa tunaiona sura halisi ya CHADEMA
0 Reactions
1 Replies
17 Views
Jamani!!!! Ndugu jamaa na marafiki aka ndo kamshahara kangu ka mwezi! Kukapangilia sasa mtihani kwani nikienda bank naivuta yote naacha 5000 tu ambayo haitoki nayo ingekuwa inatoka wallahi...
27 Reactions
162 Replies
9K Views
  • Suggestion
Utangulizi Nchi yetu Tanzania, kama ilivyo katika mataifa mengi, vita dhidi ya uraibu wa kamari na vilevi vyenye kemikali maarufu kama "Visungura" imekuwa changamoto kubwa. Tatizo hili limekua...
4 Reactions
22 Replies
232 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,779
Posts
49,786,100
Back
Top Bottom