Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu Mtanganyika , usimkope ndugu yako hela kwa sababu kuna hatari ya kuharibu uhusiano wenu. Kukopa hela kwa ndugu kunaweza kusababisha migogoro na mvutano, hasa kama kuna tatizo la kulipa deni...
2 Reactions
7 Replies
104 Views
Hizi PhD za mfululilizo zinanipa alarm juu ya rasilimali za Tanzania. India wametoa PhD majuzi tu wamepewa gati nambari 2. Sasa sijui JMT au DP ndio waliowapa tenda. Korea nao wameona mpenyo.
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Hii timu huwwa inanishangaza Jana Fredy Michael kawa mfungaji bora wa Ligi kuu Zambia licha ya kutokuwepo huko kwa miezi kadhaa, Saido mwaka jaba aliibuka mfungaji bora NBC PL akagawana zawadi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Radio ya Kiba na kikeke imekuja na style ya drama kujitangaza. Nawashauri wawekeze kwenye content ndio kila kitu kwenye media. Leo hii clouds na wasafi zina wasikilizaji wengi sababu zina...
8 Reactions
38 Replies
1K Views
Mwenye kufahamu naomba anifahamishe hivi kwanini wanasheria mnaitana wakili msomi 🤔 kwani kuna mawakili sio wasomi ?
18 Reactions
151 Replies
2K Views
Hivi kwa nini asilimia kubwa ya viongozi Wanawake wakubwa serikalini na taasisi zake wengi hawana waume Swali ni je wanaowapa vyeo wanapenda zaidi Wanawake wasiooleea au? Huu ni ubaguzi wa wazi...
15 Reactions
93 Replies
3K Views
Mwanzoni walihitaji kitambulisho cha kura, baadaye wakahitaji cheti cha kuzaliwa. Na kwasasa wanahitaji tuwe na Cheti cha kuzaliwa Cheti kutoka Migration Cheti cha kidato cha nne Cheti cha darasa...
0 Reactions
9 Replies
231 Views
Hapana shaka afya za wakazi wa Dar es Salaam na Pwani, zipo hatarini. Hii ni kutokana na kuuziwa matunda yanayookotwa katika Dampo hili ambalo wenyeji wa maeneo husika ya Kata ya Vikindu, Mkuranga...
1 Reactions
13 Replies
276 Views
Habari, Ndugu wafanyabiashara wa peanut butter, unga wa lishe, karanga za kutafuna na n.k. nina mashine ya kukaanga karanga yenye uwezo wa kukaanga karanga zaidi ya kg 50 na pia nina mashine ya...
12 Reactions
18 Replies
254 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,707
Posts
49,784,160
Back
Top Bottom