Balozi wa Tanzania nchini Korea (Jamhuri ya Korea), Balozi Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea mkopo toka Jamhuri ya Korea na kutoa...
Habari wakuu,
Kama ulikuwa hujui basi jua sasa ya kuwa unavita ya kiroho.
Vita hii uwe unaiona au auioni ila ipo inaendelea kwenye Ulimwengu wa Roho.
Uwe unajua au hujui vita ya kiroho ni...
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.
Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi...
Kuna kitoto nilikiona hapa mtwara, siku moja kabla ya juzi nikakielewa sana ila sikufanya chochote kwa sababu siku hiyo wakati napita hapo nyumbani kwao na hicho kitoto, nilikuwa na kitoto...
Mashindano ya Mpira wa Miguu Tulia Trust Uyole Cup 2024 yanayofanyika katika Uwanja wa Mwawinji Uyole ya Kati Mbeya Mjini.
Mashindano haya Yanashirikisha Timu 32 ambazo zimepewa Vifaa vya Michezo...
Shule za serikali zimefungwa tangu mwishoni wa wiki iliyopita tarehe 31/5/2024.
Waalimu tulijaza Ankara za fedha za nauli ya likizo hii mapema sana na kuziwasilisha kwa wahusika ofisi Halmashauri...
Wakuu mko salama?
Kumekuwa na matokeo mengi yanatokea hivi karibuni watu wanakamatwa na watu wanaojitambulisha ni polisi mwisho wa siku wanaokotwa wamekufa, polisi wakiambiwa ni wao wamefanya...
Mume wangu anataka kusafiri likizo njee za nchi likizo
Nina umia Sina imani na Safar yake anadai amepata mualiko toka kwa watu Walio mfadhiri masomo shule
1. You know, gentleman, there is hell and there is another place below the hell.
2. If your tired, do it tired
3. I dont pay for suits; my suit are on the house or the house burn down?
4. Everyone...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.